king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,153
Nmb Ndo Bank Zalendo
Mkuu hizi system sio za kuzitegemea kwa 100%. Lazima uwe na cash kidogo kama back up. Kuna siku nilinusurika kuumbuka kama vile sina pesa.Itokee una mgonjwa mahututi anahitaji dawa, pesa iko katika kadi ya ATM na ATM inakuambia " service unavailable. Please try later.