Dont
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 233
- 198
Wafanyakazi wa crdb utawajua tu.Hakuna benki bora kama CRDB
Wafanyakazi wa crdb utawajua tu.Hakuna benki bora kama CRDB
tatizo ni kupeana ajira kwa kujuana kindugu performance zeroCRDB imepanuka sana, ina services nyingi lakini ukiangalia kwa makini hawajawekeza equally kwenye raslimali watu, malalamiko haya sasa yamezidi na yote haya utakuta ni incompetence ya staff wao.
HakikaCRDB badala ya kuboresha huduma zao mbovu...Wanafungua vibranch uchwara vyao kama uyoga wanaviita Microfinance.....hivi vimicrofinance vitakufa kama vile vya Barclays vilivyokufa
tatizo ni kupeana ajira kwa kujuana kindugu performance zero
Ivi CRDB BANK ipo chini ya serikali au ni Taasisi ya serikali au Taasisi ya binafsi. Na jee ina umiliki gani na wazunguHiyo ni Bank ya maendeleo vijijini sielewi kwa nini wanang'ang'ana mijini wajikite ktk kilimo ili kieleweke !
Haha masiala Aya. Tushituane mapema watu tuanze kutoa pesa tuzikimbize NMB. Maana ishakuwa ishu tena kama ilivyo tukuta kule NBC bankserikali wametoa pesa zao sasa hivi wamefilisika
Mkuu mengineyo sio ya kulaumu bank...hiyo ndege ilikuwa kwenye altitude gani? Maana kuanzia ft 2000 hivi tegemea kupata hilo jibu as network inakuwa hamnaOooh! Mimi niliumbuka ndani ya ndege nilikuwa nanunua saa duty free. Mhudumu alipoingiza kadi katika machine akanijibu "Sorry Sir, your issuing bank is unavailable. Ikabidi nifungue wallet nitumie Dollar kuficha fedheha.
Yamenikuta nimefika TZ nikatumia Debit Visa card ya nje kwenye ATM ya CRDB Mbezi mwisho. Nikiwa katika harakati za kutoa pesa nikiwa nafuata maelekezo ya ATM ilifikia pahala ATM ikaniambia subiri pesa, nikasikia machine ikihesabu several times kisha ilipomaliza ikasema transaction cancelled chukua kadi yako na pesa haikutoka. Nilipokwenda kwenye internet kuangalia salio nikakuta zile pesa zimeshachukuliwa kutoka kwenye account yangu. Hadi naondoka home kurudi kazini sijarudishiwa hizo pesa hadi leo.
Braza najua unatetea kibarua. ..unadhan hao wahudumu wa ndege n.a. hawakujua Hilo kabla ya kuruhusu atumie card kufanya transaction...kwe mapungufu muwe mnakubali basiMkuu mengineyo sio ya kulaumu bank...hiyo ndege ilikuwa kwenye altitude gani? Maana kuanzia ft 2000 hivi tegemea kupata hilo jibu as network inakuwa hamna
Nashindwa kuelewa hapa. Kama kadi yako ni ya Visa, kwa nini usiende kwenye ATM ya benki ingine ambayo inapokea Visa, badala ya kutafuta ATM ya CRDB?crdb ikifika wikiend inabidi uzunguke ATM machine 10 hadi 15 ndo ukute moja yenye pesa na network.
Nashindwa kuelewa hapa. Kama kadi yako ni ya Visa, kwa nini usiende kwenye ATM ya benki ingine ambayo inapokea Visa, badala ya kutafuta ATM ya CRDB?