Nimepata taarifa za ndani kutoka Bank M kwamba wamiliki ni mlengo wa Freemason. Mtoa taarifu aliambiwa wanataka damu ya watu.
Mmoja kati ya Wamiliki aliisha shika nafasi ya juu serikalini na pia kuna ushahidi kwamba ni mwanachama wa Rottery ambayo ni tawi la Freemason.
Napata corroboration zaidi kutokana na ushirikiano wa karibu kati ya Rottery na Bank M. Naddhan mtakumbuka kwamba walitangaza hapa Jf kwa pamoja kufanya mbio za ridhaa.
Andy Chande, ambaye anafahamika kuwa ni Freemason wa degree za juu ana uhusiano wa kaibu sana na mmoja wa wamiliki wa Bank M.
Andy Chande, ambaye anafahamika kuwa ni Freemason wa degree za juu ana uhusiano wa kaibu sana na mmoja wa wamiliki wa Bank M
Kwani ndugu,ukiishi na mchawi nyumba moja,ni lazima na wewe uwe mchawi? Tusiwe na imani hafifu ndugu.
Freemasons are devil worshpers and nothing else. Kama unataka kumuabudu shetani sisi hatuwezi kukuzuia. Nakushauri ufahamu kwanza, usije ukapima kina cha maji kwamiguu miwili.
Kuna msaafu wao unaitwa Morals and Dogma utakueleza who are Freemasons. Ni msaafu ambao upo online.
Pia kabla ya kujiunga google the secret behind secret societies itakusaidia kuelewa
Andy Chande, ambaye anafahamika kuwa ni Freemason wa degree za juu ana uhusiano wa kaibu sana na mmoja wa wamiliki wa Bank M
Kwani ndugu,ukiishi na mchawi nyumba moja,ni lazima na wewe uwe mchawi? Tusiwe na imani hafifu ndugu.