SOGHOO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,268
- 568
Siku likiungua hilo Godoro hlf kumbuka no insurance!
Meridian Biao bank ilipoingia mitini na hela za watu ulikua hujazaliwa...
Greenland bank ilipoingia mitini na na hela za watanzania hukuwepo
THB iliyokua inaongozwa na Mh. Yona kwa sasa mgeni wa serikali pale Keko ilivyokufa unakumbuka ???????
FBME ya juzi juzi kabisa umeisahau...
Mimi pesa zangu kwa godoro.