Bank gani inafaa kufungua account

Bank gani inafaa kufungua account

luqman luqman

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
850
Reaction score
1,404
Habari za wakati huu.

Naombeni msaada juu ya bank nzuri kwa maana ya makato na kianzio pia sina uzoefu wa kutosha katika masuala haya na ni mwanafunzi pia.

Asante.
 
Nyingi kianzio hakizidi elfu 20,CRDB sio Mbaya sana,inategemea upo wapi,kwa wanafunzi wa vyuo CRDB is the best.
 
Kafungue Barkleys wako vzr na ukihitaji msaada ni pm nikuunganishe na mtu atakayekusaidia kufungua fasta
 
Unataka ukawape watu faida wakati una godoro na ceiling board nyumbani.
Hifadhi pesa zako kwenye godoro, hutakua na foleni ukizihitaji wala hutakatwa bank charges wala hutakua na system outage wakati ukihitaji kuzitumia.
 
Hawa NMB hawafai kabisa ndio maana Halmashauri nyingi nchini zinawakimbia. Wanachelewesha mishahara ya wateja bila sababu na wanapoulizwa majibu yao ni "kwenye system hatuoni mishahara yenu".Utadhani system ndio inasimamia akili zao.Pamoja na matatizo ya systems za IT wanapaswa wachanganye na akili zao. Ili unufaike na fursa ya mtandao mpana nakushauri jiunge na CRDB Bank
 
Unataka ukawape watu faida wakati una godoro na ceiling board nyumbani.
Hifadhi pesa zako kwenye godoro, hutakua na foleni ukizihitaji wala hutakatwa bank charges wala hutakua na system outage wakati ukihitaji kuzitumia.

Siku likiungua hilo Godoro hlf kumbuka no insurance!
 
Bank ni CRDB na NBC.......full stop......
Barclays.......Stanbic......waizi wakubwa..........
 
Back
Top Bottom