Hili jambo limefanywa kwa makusudi tu na sidhani kama kweli walikuwa hawajui nini kingefuata baadae na kutokuwepo wapinzani Bungeni ndio kulitoa mwanya wa kupitisha hii kodi na huenda ndio sababu ya kina Zitto kuzuiliwa kujadili hii bajeti pale Millenium Towers.