Jaribu kufungua account za dola ila makato ya kuchukua hela lazima yawe makubwa maana hawakukati kila mwezi Ila kila utakapotoa hela unakatwa hela kiasiHabari za mda huu ndugu zangu naombeni kuuliza ka waha Tanzania kwetu kuna benki yoyote ambayo haina makato ya kila mwezi na kama ipo ni ipi ili nikafungue account na mm niwek kihakiba changu.
Natumai nitapata msaada
MIMI MWENYEWE NATUMIA EQUITY WAKO FRESH HAWA JAMAAAKimbia mara kafungue account Equity, pesa yako itakuwa salama kabisa hata kuangalia salio ni bureeee
Hata hao kuna siku watakata tu wanafanya hivi kuwavutia wateja.Kimbia mara kafungue account Equity, pesa yako itakuwa salama kabisa hata kuangalia salio ni bureeee
Hivi mpaka hizi benk za kiislamu wanakata?Hata hao kuna siku watakata tu wanafanya hivi kuwavutia wateja.
Hi ni janja janja ya biashara muwe wengi then siku wakipiga panga wanajikuta wanaondoka na faida waliyoikusanya NMB mwaka mzima so yankuwa yale yale.
Ni aina ya account, itolewayo ndio huwa haina makato.Tanzania kwetu kuna benki yoyote ambayo haina makato