Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 744
- 633
Kipofu ana mke tena anampenda sana lkn kiziwi anatembea na mke wake kipofu! Mungu si Athuman,bubu siku moja akafumania bahati nzuri n kipofu alikuwa karibu,tatzo ni maelewano! Hebu niambie bubu afanye nn ili kipofu amkamate kiziwi?