Bango linaloonyesha mkoa wa Shinyanga mbele ya mizani ya Usagara

sadiki kibira

New Member
Nov 21, 2011
3
0
Katika hali ya kushangaza bango la kuelekeza mkoa wa shinyanga lililo mbele ya mizani ya usagara ktk jiji la Mwanza,limetelekezwa likiwa limeanguka upande mmoja,bango hili lina zaidi ya mwaka sasa,ni aibu na ni uzembe kwa watumishi wa miundombinu maana liko mbele ya ofisi yao,Wadau tusaidiane kuwakumbusha wahusika!!
 

Attachments

  • DSC00125.JPG
    DSC00125.JPG
    25.4 KB · Views: 220
  • DSC00124.JPG
    DSC00124.JPG
    42.9 KB · Views: 181
Enzi za Sokoine akiwa PM, huyo boss angekuwa hana kazi, maana alikuwa hana mchezo na uzembe wa kijinga kama huo
 
Back
Top Bottom