salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
Hii imekaaje wajemeni nikifungua email zangu nakutana na bango la mgombea la kijani? yahoo wamenunuliwa au ni machakachuzi ya tcra? Ina maana email zetu zinasomwa juu kwa juu bila ridhaa yetu? ni uzandiki gani huu?