Bangi sometimes

Bangi sometimes

mwl

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
1,101
Reaction score
913
Wavuta bangi waliokuwa maskani walipokolewa mmoja akatoa ushauri kuwa ukuta ulio mbele yao unawazuia kuwaona manjagu wakija, kwahiyo wausukume wausogeze. Wakavua mashati na flana zao wakawa wanasukuma ukuta, akapita kibaka akaondoka na nguo zile. Mmoja kati ya wavuta bangi kuangalia haoni mashati, akawaambia wenzake: "Washkaji eeeh inatosha tumekwisha ufikisha mbali hamuoni hata nguo zetu hatuzioni? au vipi.
 
Gamuma noma!hasa ikichanganywa na kuberi+sigara nyota+mavi ya mjusi au kuku yale meupe,halafu upige mipodo miwili!weeh! Waya umeme unaziona sawa na kamba za kuanikia nguo,unataman utundike sati.
 
Bangi bangeni kama uongo ulizeni mbuzi angekula majani. Uongo bwana. Kweli bwanaaa. Alaatul.
 
Gamuma noma!hasa ikichanganywa na kuberi+sigara nyota+mavi ya mjusi au kuku yale meupe,halafu upige mipodo miwili!weeh! Waya umeme unaziona sawa na kamba za kuanikia nguo,unataman utundike sati.

we Ndokororo kuberi bado zipo? Maana hivisasa waliokuwa walaji wa kuberi wanakula ugoro.
 
Kweli kabisa,mi nakumbuka nikiwa kwa bibi kijiji cha Isoka zambia,kuna jamaa mchunga ng'ombe alivuta banghi kinoma.Mara ghafla jamaa akatoka nduki huku ameinama,tukamuuliza kulikoni,akajibu;'mawingu yanashuka yanataka kumdondokea!'.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom