Bangi haibagui mtu

Bangi bwana nakumbuka 1982 tukiwa Ukerewe jamaa yetu alipuliza kama stick mbili akaenda kulala chini ya mti si tukamwacha amelala mvua ikaja mvua aisee tulishangaa mtu anakimbia huku anapiga kelele kumuuliza tatizo nini eti MASHETANI yanamkojolea
 
mbona mnaisingizia bangi hao wanamawazo ya hali ya magufuli ya sado 5000 ya maindi
 
Inakupa kile unachostahili kwa wakati huo


Ndiyo maana dogo (taifa la kesho) hapo juu anataka kujiua kwa carbon monoxide? Kwa kweli wauza unga na bangi wanawamaliza bila huruma. Ulimsikia Mungu wenu Chidi Benz anavyosema kuhusu haya madawa yanayowabangua? Shauri zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…