M Mipesa Member Nov 19, 2011 32 3 Nov 19, 2011 #1 Jaman bange ni noma. Kulikuwa na jamaa anapuliza kitu la Arusha, baada ya stimu kuanza akaanza ku .......... (SOME TEXT MISSING)
Jaman bange ni noma. Kulikuwa na jamaa anapuliza kitu la Arusha, baada ya stimu kuanza akaanza ku .......... (SOME TEXT MISSING)
kirumonjeta JF-Expert Member Feb 9, 2008 3,966 1,964 Nov 19, 2011 #2 Kale kwanza mkuu ndo urudi jamvini
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Nov 19, 2011 #3 Na sio unavuta bhange wakati umetoka kula ugali wa mboga nyanya! Utakufa!wenzio bhange keeps us sane,lol
Na sio unavuta bhange wakati umetoka kula ugali wa mboga nyanya! Utakufa!wenzio bhange keeps us sane,lol
M Mipesa Member Nov 19, 2011 32 3 Nov 19, 2011 Thread starter #5 King'asti said: Na sio unavuta bhange wakati umetoka kula ugali wa mboga nyanya! Utakufa!wenzio bhange keeps us sane,lol Click to expand... sio kosa langu
King'asti said: Na sio unavuta bhange wakati umetoka kula ugali wa mboga nyanya! Utakufa!wenzio bhange keeps us sane,lol Click to expand... sio kosa langu
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Nov 19, 2011 #6 bangi nibangue,nipate gari nitanue,mtaani wasijue na mademu nibandue.Nalog off
Jaguar JF-Expert Member Mar 6, 2011 3,438 1,026 Nov 19, 2011 #7 Mimi ni mgumu,naishi kwenye room,hata ukinipa sumu,nitaendelea kudumu,bado nipo humu na wala situmii ndumu!
Mimi ni mgumu,naishi kwenye room,hata ukinipa sumu,nitaendelea kudumu,bado nipo humu na wala situmii ndumu!
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Nov 19, 2011 #8 Toka nianzie kula msuba sijaumwa na homa wala sijapata mafua-lod Eyez
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Nov 19, 2011 #10 Ni kosa la nani sasa? Ndo bhange zenyewe,kha! Mipesa said: sio kosa langu Click to expand...
M Mahona Senior Member Sep 29, 2011 162 13 Nov 20, 2011 #11 Yangu macho! Endeleeni na malumbano cha msingi msishikane mashati!
M mkonomtupu JF-Expert Member Jul 5, 2011 441 118 Nov 20, 2011 #12 Washawasha said: bangi nibangue,nipate gari nitanue,mtaani wasijue na mademu nibandue.Nalog off Click to expand... Mkuu Washawasha hii kali mwana
Washawasha said: bangi nibangue,nipate gari nitanue,mtaani wasijue na mademu nibandue.Nalog off Click to expand... Mkuu Washawasha hii kali mwana
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Nov 21, 2011 #15 Bange ilimfanya jamaa yangu akaruka kutoka juu ya mti akifikiri ataweza kruka kama ndege...alikuwa anajisikia mwepesi kama carbon paper.
Bange ilimfanya jamaa yangu akaruka kutoka juu ya mti akifikiri ataweza kruka kama ndege...alikuwa anajisikia mwepesi kama carbon paper.