Bange! Bange!

Mipesa

Member
Nov 19, 2011
32
3
Jaman bange ni noma. Kulikuwa na jamaa anapuliza kitu la Arusha, baada ya stimu kuanza akaanza ku .......... (SOME TEXT MISSING)
 
Na sio unavuta bhange wakati umetoka kula ugali wa mboga nyanya! Utakufa!wenzio bhange keeps us sane,lol
 
27552_114801431874945_8306_n.jpg
 
bangi nibangue,nipate gari nitanue,mtaani wasijue na mademu nibandue.Nalog off
 
Mimi ni mgumu,naishi kwenye room,hata ukinipa sumu,nitaendelea kudumu,bado nipo humu na wala situmii ndumu!
 
Toka nianzie kula msuba sijaumwa na homa wala sijapata mafua-lod Eyez
 
Bange ilimfanya jamaa yangu akaruka kutoka juu ya mti akifikiri ataweza kruka kama ndege...alikuwa anajisikia mwepesi kama carbon paper.
 
Back
Top Bottom