excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
kazi yangu ni ya umbea umbea tu kwenye simu ๐๐Dkk zote hizo? Nimewaza wee ni muongeaji sana. Lol
kazi yangu ni ya umbea umbea tu kwenye simu ๐๐Dkk zote hizo? Nimewaza wee ni muongeaji sana. Lol
Me wa kiume mkuuusijali Nita kupokea, ili usije bakwa na nyani
Kwani nyani wa kike hawapo?Me wa kiume mkuu
Nyani Hana uwezo huo mkuu ๐ ๐ huyo atakuwa mtuKwani nyani wa kike hawapo?
karibu uji onee kwa macho๐Nyani Hana uwezo huo mkuu ๐ ๐ huyo atakuwa mtu
Daaah aisee ๐karibu uji onee kwa macho๐
Daaah aisee aya SAWAkaribu uji onee kwa macho๐
VPN zipo nyingi sana,, ni ipi hiyo embu baelezee tunatumiaje vp?Uko kizamani Sana tumia VPN (virtual private network) unlimited ni wewe uwezo wako wa kutumia simu unaweza kukesha.
Hizo
Kuna vpn ya voda nimetengenezewa na mhindi mmoja kutoka kwenye group la telegram la VPN INDIA .VPN zipo nyingi sana,, ni ipi hiyo embu baelezee tunatumiaje vp?
Endelea kushenyetwa maana una akili fupi,,,mtajirishe RostamAya wa sasa tuache wazamani
Karibu tukuhudumie mkuuKuna jamaa alinipa gb 8, wewe una afadhali.
Hakika hawa ni weziInazingua natumia ya tigo yote inaisha shwaa tena ya mwezi nimeeka naambiwa matumizi Yako
Hapo inabid nikupe namba ya agentMkuu nataka uniunganishe hii SME ya Voda,, TIN no ninayo
menu yake unabonyeza ngapi mkuuHapo inabid nikupe namba ya agent
Ila wanacharge 10k ili uweze kupata io menu