Bandarini si wizi bali kufuru: Meli nzima 'yaibiwa'

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
Makubwa yamezidi kugundulika kwenye sakata la upotevu wa makontena Bandari ya Dar na sasa inadaiwa kuwa kuna nyakati wahusika wamewahi kufuta kumbukumbu za meli nzima ya makontena na kuiba makontena yote.

Taarifa hizo zinavuja wakati kukiwa na mvutano kati ya chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kinachodai kutohusika kwa namna yoyote na upotevu wa makontena zaidi ya 11,000 ambayo hayakulipiwa ushuru bandarini (Wharfage charges).

TAFFA wanaitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuwajibika katika upotevu huo ulioinyima Serikali kupitia mamlaka hiyo mabilioni ya fedha.


Chanzo: Raia Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Bandari bora ingeuzwe iwe beach!! Mda si mrefu Yusuph Manji atainunua bandari nzima!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…