Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,587
- 28,749
- Thread starter
- #21
Ukishangaa mambo ya Tanzania unaweza kuwa chizi aiseeee.
teh teh teh
teh teh teh
Zimezama au..pale bandari zimeingia zaidi ya meli 65 zimeshusha mizigo na hazikuonekana
mkuu inamaana hizo meli 65 zimepotea kipindi hiki au kipindi cha nyuma
Siyo kipindi hiki ni juzi wakati yupo chato.mkuu inamaana hizo meli 65 zimepotea kipindi hiki au kipindi cha nyuma
Rais kasema leo yaani juzi akiwa rubondo na odinga. Hata hivyo ni kama miujiza hivi make anadai ilishushwa ndani ya Masaa machahe.Labda kila meli ilikuwa inashusha balo moja la mitumba na kuondoka, lakini meli 65 zishushe mzigo wa haja ni foleni na msongamano hapo bandarini, au hizo meli zilishusha mizigo kipindi tofauti kipindi cha mzee wa tezi tume
Ebu naomba rais wangu awe anatulia kidogo na kusubiri taarifa za kina, yaani meli zimepotea vooooooooom baada ya kushusha mzigo??Rais kasema leo yaani juzi akiwa rubondo na odinga. Hata hivyo ni kama miujiza hivi make anadai ilishushwa ndani ya Masaa machahe.
Magufuli anapaswa kujiuzulu haiwezekani meli 65 zishushe mizigo ziyeyuke halafu aombe wananchi tumuombee wakati ameshindwa kazi