Waliohusika na haya madudu ndio wanashikilia kinga za kutoshitakiwa hivyo sio ajabu JPM akaishia kwenye push-ups. Jana nimekatishwa tamaa na chama ca ANC cha Afrika Kusini ambacho daima wanatumia wingi wao kama ccm. Yaani mtu kaiba pesa ya nchi, mwanzoni alikataa lakini alivyobanwa akakiri na eti kaomba msamaha. Then mahakama imethibitisha kuwa aliiba lakini wabunge wanamkingia kifua, poor Africa!tushazoea dili hatuwezi kuacha ata ufanyaje tutapiga tu