Bandari na kituko cha taifa

Bandari na kituko cha taifa

Ni bora Kina Bashiru wangepindua meza mwanzoni kabisa haya yasingetokea.

Huyu bibi kashasimika mifumo yake sasa anajifanyia tu anachotaka
Nchi ilitakiwa iwe na uongozi wa mpito baada ya msiba kisha ufanyike uchaguzi mkuu
 
Shida ya wabunge wetu ni kutokutana na wananchi, wao muda wote wako kwenye biashara zao, wakitoka huko hawana jipya, ni wakati sasa bunge lipunguzwe ukubwa wake liwe controlled na wananchi na ikitokea mbunge hana ufanisi basi aondolewe bila kujali kama muda wake umekwisha au la
Kwa hili JPM ana kila sababu ya lawama....Alidhani yeye Mungu? Ameondoka sasa na kutuachia madhila haya...Mungu amsamehe lakini amelikosea sana taifa hili kwakufanya vile
 
Ni bora Kina Bashiru wangepindua meza mwanzoni kabisa haya yasingetokea.

Huyu bibi kashasimika mifumo yake sasa anajifanyia tu anachotaka
Kumbaka bado kuna Mungu na atatenda tena kwa moto ulao...Just wait and see how things turn arround!

Hakutakuwa na mvua wala jua ila kwa neno langu...Nimerudi mazima na nguvu ya kuvunja kuharibu na kuteketeza tujenge upya...
 
Kwa hili JPM ana kila sababu ya lawama....Alidhani yeye Mungu? Ameondoka sasa na kutuachia madhila haya...Mungu amsamehe lakini amelikosea sana taifa hili kwakufanya vile
Kwa uwezo wake wa kiutendaji hakuhitaji kabisa kuwa na hofu mpaka kutengeneza bunge la namna hii, kiukweli bunge lililopo ni takataka kabisa
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima, nimemsikiliza Dr. Wilbroad Slaa, nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi, nimemsikiliza Mange Kimambi, nimemsikiliza Rostam Aziz, nimemsikiliza Tundu Lissu, nimemsikiliza Freeman Mbowe.

Nimelisikiza Bunge, nimemsikiliza RC Albert Chalamila, nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan, nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali, na nimemsikiliza Salim Asas; to mention a few.

Baada ya kuwasikiliza, nimetafiti, nimelinganisha, nimetofautisha kauli zao, fikra zao, hoja zao, na matendo yao, nikapata majawabu haya:

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe, ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania. Watanzania wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti; nchi inajiongoza yenyewe.

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji.

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi.

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao. Kurejesha mamlaka, madaraka, na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv. Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi, Adv. Livino Ngalimtumba, na Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam "Under Extreme Certificate of Urgency" ili Mahakama ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi. Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali. Iingie mikataba mizuri, Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi.
Inamaana mapungufu yaliyomo kwenye mkataba wwabunge hawakuyaona au msemo wa tibaijuka bundi kapenya bungeni
 
Nchi ilitakiwa iwe na uongozi wa mpito baada ya msiba kisha ufanyike uchaguzi mkuu
Hili ni kosa la kiufundi kabisa, kiongozi kukaa kwenye nafasi ambayo hakuchaguliwa kwa miaka minne bila kuitisha uchaguzi ni kutowatendea haki wananchi. Ndo maana nchi zilizoendelea kiongozi akionekana kupata upinzani kupitisha sera zake anaitisha uchaguzi wa mapema kutafuta kuungwa mkono. Lakini bongo hata uchaguzi ukifanyika unaishia kunajisiwa na chama twawala kwa hiyo huwezi kupata picha halisi ya kiongozi kukubalika.
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima, nimemsikiliza Dr. Wilbroad Slaa, nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi, nimemsikiliza Mange Kimambi, nimemsikiliza Rostam Aziz, nimemsikiliza Tundu Lissu, nimemsikiliza Freeman Mbowe.

Nimelisikiza Bunge, nimemsikiliza RC Albert Chalamila, nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan, nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali, na nimemsikiliza Salim Asas; to mention a few.

Baada ya kuwasikiliza, nimetafiti, nimelinganisha, nimetofautisha kauli zao, fikra zao, hoja zao, na matendo yao, nikapata majawabu haya:

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe, ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania. Watanzania wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti; nchi inajiongoza yenyewe.

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji.

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi.

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao. Kurejesha mamlaka, madaraka, na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv. Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi, Adv. Livino Ngalimtumba, na Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam "Under Extreme Certificate of Urgency" ili Mahakama ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi. Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali. Iingie mikataba mizuri, Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi.
Mkuu umeongea vizuri sana. Nchi hii imefika hapa kwa sababu ya upuuzi wa CCM na kitendo chake cha kuwafuga mafisadi wanaoisumbua na kuiangamiza nchi kwa maslahi finyu ya kutunisha matumbo yao mapana yasiyoshiba. Kwa hapa tulipofikia hakuna namna nchi inavyoweza kuondoka kwenye mkwamo pasipo wananchi kuchukua maamuzi ya kuwaondoa hawa panya madarakani ifikapo 2025 wasiendelee kuguguna rasilimali za taifa. Tukiendelea kuwachekea sio tu tutavuna mabua bali nasi tutauzwa kwa waarabu na mabeberu.
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima, nimemsikiliza Dr. Wilbroad Slaa, nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi, nimemsikiliza Mange Kimambi, nimemsikiliza Rostam Aziz, nimemsikiliza Tundu Lissu, nimemsikiliza Freeman Mbowe.

Nimelisikiza Bunge, nimemsikiliza RC Albert Chalamila, nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan, nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali, na nimemsikiliza Salim Asas; to mention a few.

Baada ya kuwasikiliza, nimetafiti, nimelinganisha, nimetofautisha kauli zao, fikra zao, hoja zao, na matendo yao, nikapata majawabu haya:

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe, ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania. Watanzania wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti; nchi inajiongoza yenyewe.

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji.

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi.

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao. Kurejesha mamlaka, madaraka, na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv. Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi, Adv. Livino Ngalimtumba, na Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam "Under Extreme Certificate of Urgency" ili Mahakama ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi. Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali. Iingie mikataba mizuri, Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi.
kwa kweli hii ni point kubwa sana, intely yangu imeshaniambia kuhusu hilo
 
Najua Athari ya Mapinduzi ya kijeshi.
#Ila Hii Nchi inahitaji MAPINDUZI TU YA KIJESHI.
No Matter Maumivu gani tutapata ila afadhali waondoke wadhalimu hawa.
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima, nimemsikiliza Dr. Wilbroad Slaa, nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi, nimemsikiliza Mange Kimambi, nimemsikiliza Rostam Aziz, nimemsikiliza Tundu Lissu, nimemsikiliza Freeman Mbowe.

Nimelisikiza Bunge, nimemsikiliza RC Albert Chalamila, nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan, nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali, na nimemsikiliza Salim Asas; to mention a few.

Baada ya kuwasikiliza, nimetafiti, nimelinganisha, nimetofautisha kauli zao, fikra zao, hoja zao, na matendo yao, nikapata majawabu haya:

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe, ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania. Watanzania wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti; nchi inajiongoza yenyewe.

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji.

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi.

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao. Kurejesha mamlaka, madaraka, na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv. Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi, Adv. Livino Ngalimtumba, na Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam "Under Extreme Certificate of Urgency" ili Mahakama ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi. Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali. Iingie mikataba mizuri, Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi.
Najaribu kuuliza? Hivi Tanzania kuna majaji waadilifu wa kulinda rasilimali za Taifa?
Kama hata mahakama ya rufaa ina bariki wakurugenzi makada wa Ccm wasimamie uchaguzi wa vyama vingi najiuliza kuna haki wapi?
Kama wabunge wanao jiita wabunge wanajua walifikaje pale mjengoni wako hapo kwa mchongo wana bariki hujuma za serikali badala ya kuisimamia serikali tutegemee nini?
Badala ya kuchambua vifungu vya mkataba kwa hoja wao wana anzisha kikundi cha sanaa ndani ya bunge kupeleka mipasho kwa umma hii si dharau?? Nchi imeuzwa!!!!
 
Dua la kuku halimpati mwewe.Pigeni kelele weeee!Lakini nchi nilazima iende mbele na ushirikiano wa Tz na Dubai ndiyo umeishapita.
 
Back
Top Bottom