Bandari na kituko cha taifa

Bandari na kituko cha taifa

chawa wa mama

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
292
Reaction score
1,086
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima, nimemsikiliza Dr. Wilbroad Slaa, nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi, nimemsikiliza Mange Kimambi, nimemsikiliza Rostam Aziz, nimemsikiliza Tundu Lissu, nimemsikiliza Freeman Mbowe.

Nimelisikiza Bunge, nimemsikiliza RC Albert Chalamila, nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan, nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali, na nimemsikiliza Salim Asas; to mention a few.

Baada ya kuwasikiliza, nimetafiti, nimelinganisha, nimetofautisha kauli zao, fikra zao, hoja zao, na matendo yao, nikapata majawabu haya:

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe, ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania. Watanzania wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti; nchi inajiongoza yenyewe.

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji.

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi.

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea muda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri, achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao. Kurejesha mamlaka, madaraka, na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv. Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi, Adv. Livino Ngalimtumba, na Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam "Under Extreme Certificate of Urgency" ili Mahakama ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi. Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali. Iingie mikataba mizuri, Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi.
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima , Nimemsikiliza Dr Wilbroad Slaa , Nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi , Nimemsikiliza Mange Kimambi , Nimemsikiliza Rostam Aziz , Nimemsikiliza Tundu Lissu , Nimemsikiliza Freeman Mbowe .

Nimelisikiza Bunge , Nimemsikiliza RC Albert Chalamila , Nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan , Nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali na Nimemsikiliza Salim Asas ; to mention the few .

Baada ya kuwasikiliza Nimetafiti , Nimelinganisha , Nimetofautisha kauli zao , fikra zao , hoja zao na matendo yao nikapata majawabu haya :-

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe , ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania . Watanzia wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti ; Nchi inajiongoza yenyewe .

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji .

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi .

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea mda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao . Kurejeshe mamlaka , madaraka na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv . Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi ,Adv. Livino Ngalimtumba & Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Daer es Salaam " Under Extreme Certificate of Urgency " Ili Mahakam ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi . Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali iingie mikataba mizuri Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi .
Naunga mkono hoja.
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima , Nimemsikiliza Dr Wilbroad Slaa , Nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi , Nimemsikiliza Mange Kimambi , Nimemsikiliza Rostam Aziz , Nimemsikiliza Tundu Lissu , Nimemsikiliza Freeman Mbowe .

Nimelisikiza Bunge , Nimemsikiliza RC Albert Chalamila , Nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan , Nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali na Nimemsikiliza Salim Asas ; to mention the few .

Baada ya kuwasikiliza Nimetafiti , Nimelinganisha , Nimetofautisha kauli zao , fikra zao , hoja zao na matendo yao nikapata majawabu haya :-

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe , ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania . Watanzia wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti ; Nchi inajiongoza yenyewe .

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji .

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi .

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea mda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao . Kurejeshe mamlaka , madaraka na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv . Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi ,Adv. Livino Ngalimtumba & Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Daer es Salaam " Under Extreme Certificate of Urgency " Ili Mahakam ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi . Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali iingie mikataba mizuri Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi .


Toka huu mjadala uanze, this is one of the best summery.
 
Ule mkataba ukiisoma wote na ukawasikiliza wanaoutetea, ni lazima uwe mwendawazimu asiye na aibu, kuweza kuukubali.

Ingekuwa ni nchi za watu makini na wasioruhusu mambo ya hovyo hovyo, sahizi kundi kubwa la wale wabunge bandia pamoja na spika wao wangekuwa wamejiuzulu kwa kulazimishwa, kuna watu ama wangekuwa kizimbani au wangekuwa chini ya vyombo vya uchunguzi, Serikali nzima ingekuwa ipo uelekeo wa kuondolewa.

Baada ya kuusaini mkataba wa hovyo namna ile, hakuna mtu angekuwa na imani na Serikali ya namna hiyo.

Lakini, wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha. Wananchi waliofanywa hawana akili, mambo ya hovyo kama haya, taratibu, yatawaamsha.
 
Kila siku nazidi kuiona connection iliyopo kati ya JK na Samia, kwenye mambo mabaya kabisa yanayoliumiza hili taifa, tangu wakati ule wa twiga wetu "kupanda" ndege enzi za utawala wa JK.

Kuanzia kwenye udhaifu uliokuwepo awamu ile ya JK mpaka sasa tunauona udhaifu uliopo awamu hii ya Samia, hawa wote wanafanana kwa namna mbaya kabisa ya kuliangamiza hili taifa.

Hapa ndipo Samia anapokosea na hataki kujirekebisha, kumgeuza JK kuwa ndie "think tank" wake, matokeo yake sasa ameanza kubeba uozo wote uliobaki kichwani mwa JK ambao hakupata muda wa kuutekeleza awamu yake, huyu Samia ndio anautekeleza sasa, na inawezekana kabisa anautekeleza kwa manufaa ya JK pia.

Tabia yao nyingine wanayofanana ni uvivu, hawa wote hawawezi kuhangaisha vichwa vyao, wao kila jambo ni kuwaachia wasaidizi wao, matokeo yake sasa nchi imetolewa sadaka huku tukijiita tuna kiongozi, hapana, mimi nasema nchi kwa sasa haina kiongozi, inajiendea tu, kama ilivyokuwa "auto-pilot" enzi za JK.
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima , Nimemsikiliza Dr Wilbroad Slaa , Nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi , Nimemsikiliza Mange Kimambi , Nimemsikiliza Rostam Aziz , Nimemsikiliza Tundu Lissu , Nimemsikiliza Freeman Mbowe .

Nimelisikiza Bunge , Nimemsikiliza RC Albert Chalamila , Nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan , Nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali na Nimemsikiliza Salim Asas ; to mention the few .

Baada ya kuwasikiliza Nimetafiti , Nimelinganisha , Nimetofautisha kauli zao , fikra zao , hoja zao na matendo yao nikapata majawabu haya :-

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe , ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania . Watanzia wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti ; Nchi inajiongoza yenyewe .

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji .

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi .

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea mda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao . Kurejeshe mamlaka , madaraka na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv . Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi ,Adv. Livino Ngalimtumba & Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Daer es Salaam " Under Extreme Certificate of Urgency " Ili Mahakam ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi . Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali iingie mikataba mizuri Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi .
JIbu ni hili kwingine kote sihangaiki kusoma
 
Hivi Tulia spika wa Bunge haoni aibu kwa yanayoendelea? Ilitakiwa pale serikali iagizwe kurekebisha baadhi ya mambo ndipo waendelee kupitisha azimio, pale hata kama sio mwanasheria lakini bado utaona mapungufu ya wazi kabisa yaliopo
Yeye aliagizwa kwenda kupitisha na siyo kufanya marekebisho yoyote
 
Ule mkataba ukiisoma wote na ukawasikiliza wanaoutetea, ni lazima uwe mwendawazimu asiye na aibu, kuweza kuukubali.

Ingekuwa ni nchi za watu makini na wasioruhusu mambo ya hovyo hovyo, sahizi kundi kubwa la wale wabunge bandia pamoja na spika wao wangekuwa wamejiuzulu kwa kulazimishwa, kuna watu ama wangekuwa kizimbani au wangekuwa chini ya vyombo vya uchunguzi, Serikali nzima ingekuwa ipo uelekeo wa kuondolewa.

Baada ya kuusaini mkataba wa hovyo namna ile, hakuna mtu angekuwa na imani na Serikali ya namna hiyo.

Lakini, wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha. Wananchi waliofanywa hawana akili, mambo ya hovyo kama haya, taratibu, yatawaamsha.
Kwanza lazima uwe shetani kabisa kutetea huu ujinga
 
Nimemskiliza Fr. Charles Kitima , Nimemsikiliza Dr Wilbroad Slaa , Nimemsikiliza Adv. Boniface Mwambukusi , Nimemsikiliza Mange Kimambi , Nimemsikiliza Rostam Aziz , Nimemsikiliza Tundu Lissu , Nimemsikiliza Freeman Mbowe .

Nimelisikiza Bunge , Nimemsikiliza RC Albert Chalamila , Nimemsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan , Nimeskiliza Gerson Msigwa Msemaji wa Serikali na Nimemsikiliza Salim Asas ; to mention the few .

Baada ya kuwasikiliza Nimetafiti , Nimelinganisha , Nimetofautisha kauli zao , fikra zao , hoja zao na matendo yao nikapata majawabu haya :-

1. Mkataba wa Bandari haujitetei wenyewe , ni mkataba wa kifisadi unaohitaji nyongeza ya maneno ili uwe halali na ukubalike kwa Watanzania . Watanzia wameukataa.

2. Nchi kwa sasa haina uongozi madhubuti ; Nchi inajiongoza yenyewe .

3. Kuna kikundi cha wahuni wachache wanapora rasilimali za nchi na wanaziweka kwenye mikono ya wageni kwa jina la uwekezaji .

4. Katiba ya nchi na sheria za nchi zimeanajisika. Utawala bora na utawala wa sheria umetoweshwa kwa ulafi wa maslahi ya watu binafsi .

5. Taifa linahitaji hatua za haraka na dharura kuikwamua nchi na machafuko yanayoweza kutokea mda wowote kuanzia sasa. Umaskini umekithiri achilia mbali pengo kubwa la walionacho na wasio nacho linavyoongezeka kwa kasi.

6. Wakati umefika raia wote wa Tanzania kuamka kudai haki ya nchi yao . Kurejeshe mamlaka , madaraka na nguvu mkononi mwao kutoka kwa viongozi walioko madarakani.

7. Naunga Mkono Mawakili wazalendo Adv . Emmanuel Chengula, Adv. Boniface Mwambukusi ,Adv. Livino Ngalimtumba & Adv. Alfonce Lusako wanaokusudia kufungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Daer es Salaam " Under Extreme Certificate of Urgency " Ili Mahakam ikatupe tafsiri ya huu mkataba unaweka rehani usalama wa nchi . Bunge la JMT limewasaliti wananchi badala ya kuisimamia serikali iingie mikataba mizuri Bunge limegeuka kuwa "Genge la serikali" la kupingana na wananchi .
Umehitimisha vizuri. Kongole!
 
Hivi Tulia spika wa Bunge haoni aibu kwa yanayoendelea? Ilitakiwa pale serikali iagizwe kurekebisha baadhi ya mambo ndipo waendelee kupitisha azimio, pale hata kama sio mwanasheria lakini bado utaona mapungufu ya wazi kabisa yaliopo

Yupi? Huyu huyu tunayemjua au kuna mwingine! Unapokua msomi mbobezi kuna mambo mawili yanaweza kuharibu image na reasoning capacity yako, kuwekwa mtu kati na wanasiasa ili upate cheo & njaa!
 
Back
Top Bottom