Balozi wa Norway nchini Tanzania, utaondoka wewe CCM utaiacha Tanzania

Mimi nina swali:
Kwanini Tanganyika inaing'ang'ania Zanzibar??
Kuanzia mambo ya muungano mpk uchaguzi wa mwaka jana.

Nini kipo nyuma ya pazia?

NB:Mwenye kujua anijibu, kama hujui pita kimya kimya.
 
SALAMU HIZI ZIMFIKIE BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA, ATAONDOKA YEYE CCM ATAIACHA HAPA HAPA


Balozi wa Nowary nchini Tanzania Ms Hanne Marie Kaastard ana bidii na juhudi ya kuhakikisha anasimamia kuona CUF inatawala Zanzibar. Huo ndio msimamo wa nchi yake wa muda mrefu. Haipendi CCM wala haipendi SMZ. Sera za Norway kwa Zanzibar zinajulikana tangu asubuhi.

Hastaajabishi kusikia kwamba kaenda ofisi za CUF na kuonana na Mazroui na Jussa hili Gazeti lililotoa hii habari nafikiri mwandishi wake anatumika kuweka DRIP za lala salama. kutia hofu na shauku ya kujua nini kimeongelewa. Sisi tunasema hatuna haja ya kujua Perpetrators kama Balozi wa Norway nini kasema au kateta na CUF.

Anakuja Zanzibar kila siku na kwenda hadi nyumbani kwa Maalim Seif. Kila siku anaonekana mahotelini Serena na Hyatt na akina Jussa. lunch, dinner and even for coffee meetings.Mugabe ameshawapa salam zao juzi. They should shush their mouths kwa issues ya CCM kutawala.

Na sisi tunawaambia Norway na maajent wao wengine hatuhitaji wao waje watuambie nini tufanye. tuna katiba yetu. tuna sheria zetu na tuna uhuru wetu.Tuna maamuzi yetu, kama mtu kasusa katiba inamruhusu kumpa uhuru wake wa kufanya na kutofanya anachotaka.

Norway na wenzako punguzeni speed kwa Zanzibar, mnalolitaka kwa Zanzibar mmeshalikosa. si mafuta si gesi si political recognition havipo. Yale ya 1995 mlipopata fursa ya kutupanda kichwani sasa ulimwengu umebadilika.

Endeleeni kuwabeba wapinzani wa CCM kuanzia nyinyi wenyewe kama Ubalozi hapa Tanzania bali hata NGOs zenu feki za Ki Norway mlizoanzisha hapa Tanzania na Zanzibar kwa kisingizio cha kusadia jamii kumbe mna ajenda zenu.Norway timewashtukia mchana kweupe.Salaam tunajua zitawafika kupitia kwa Daily Paid vibaraka wenu mliowaweka Zanzibar.

Ahsante

Mtandao wa wanyonge waliowengi Zanzibar
kama kweli mtandao wenu una wanyonge waliowengi mbona uchaguzi halali na unaotambuliwa dunia nzima wa oct 25 mmeangukia pua vibaya ? hivi wewe mkazi wa kisiwandui unaweza kumtisha balozi ? umedanganywa sana , nakuhakikishia kwamba Maalim Sief hatonyang'anywa haki yake . ukae ukilijua hilo ili usijepata kisukari .
 
Anachofanya mama balozi ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine
Hatofanikiwa,alishindwa mch.charlesa stith,alikua akiingia zanzibar kwa taxi na alichemka
 
Hivi ni Norway peke yake ndio waliosema uchaguzi Zanzibar ulikua wa huru na haki ??

Watanzania wote walishuhudia uchaguzi wa huru na haki. Baada ya uchaguzi tukajisifia. Matokeo yalipoanza kutoka ndiyo vituko vikaanza. Hii kitu ni Jecha, Shein na Kikwete ndiyo wanajua kinachoendelea!!
 
SALAMU HIZI ZIMFIKIE BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA, ATAONDOKA YEYE CCM ATAIACHA HAPA HAPA


Balozi wa Nowary nchini Tanzania Ms Hanne Marie Kaastard ana bidii na juhudi ya kuhakikisha anasimamia kuona CUF inatawala Zanzibar. Huo ndio msimamo wa nchi yake wa muda mrefu. Haipendi CCM wala haipendi SMZ. Sera za Norway kwa Zanzibar zinajulikana tangu asubuhi.

Hastaajabishi kusikia kwamba kaenda ofisi za CUF na kuonana na Mazroui na Jussa hili Gazeti lililotoa hii habari nafikiri mwandishi wake anatumika kuweka DRIP za lala salama. kutia hofu na shauku ya kujua nini kimeongelewa. Sisi tunasema hatuna haja ya kujua Perpetrators kama Balozi wa Norway nini kasema au kateta na CUF.

Anakuja Zanzibar kila siku na kwenda hadi nyumbani kwa Maalim Seif. Kila siku anaonekana mahotelini Serena na Hyatt na akina Jussa. lunch, dinner and even for coffee meetings.Mugabe ameshawapa salam zao juzi. They should shush their mouths kwa issues ya CCM kutawala.

Na sisi tunawaambia Norway na maajent wao wengine hatuhitaji wao waje watuambie nini tufanye. tuna katiba yetu. tuna sheria zetu na tuna uhuru wetu.Tuna maamuzi yetu, kama mtu kasusa katiba inamruhusu kumpa uhuru wake wa kufanya na kutofanya anachotaka.

Norway na wenzako punguzeni speed kwa Zanzibar, mnalolitaka kwa Zanzibar mmeshalikosa. si mafuta si gesi si political recognition havipo. Yale ya 1995 mlipopata fursa ya kutupanda kichwani sasa ulimwengu umebadilika.

Endeleeni kuwabeba wapinzani wa CCM kuanzia nyinyi wenyewe kama Ubalozi hapa Tanzania bali hata NGOs zenu feki za Ki Norway mlizoanzisha hapa Tanzania na Zanzibar kwa kisingizio cha kusadia jamii kumbe mna ajenda zenu.Norway timewashtukia mchana kweupe.Salaam tunajua zitawafika kupitia kwa Daily Paid vibaraka wenu mliowaweka Zanzibar.

Ahsante

Mtandao wa wanyonge waliowengi Zanzibar
Waliongea nini hao ndugu na huyo balozi?
Ni Wanorway hao hao unaowananga hapo juu ndio walioleta serikali ya Umoja wa Kitaifa kule Zenji, kama ulikuwa hujui. Unadhani Maalim na Karume walianza tu wenyewe kupatana? Ulikuwa ni mradi wa Wanorway kuhakikisha kwamba visiwa vinabaki salama, akishirikiana na vyama vyote vikuu Zenji. Ndio waliofadhili ule mradi wa umeme wa kutoka Tanga kwenda Pemba (submarine cable), ili kuchagiza hicho walichokianza katika siasa. Uwe unatafiti kwanza kabla hujaandika mada ngumu kama hizi. Wamefadhili pia barabara za Kusini Pemba, maeneo ya Mtambile, Kangani, Kengeja, Ole, Tundauwa n.k. Kwa hiyo basi hawawezi kukaa kimya iwapo amani ya visiwani inavugika na kuharibu kila kitu.
 
Mm naona utaondoka ww coz nahisi hautufai katika jamii hii ya wanademocrasia, kwa sasa tunaanza kukusaka ww uondoke nchini tanzania urudi kwenu Burundi ,mtoa mada kusanya kila chako uondoke kabla hatujakufikia sisi
 
Povu jingi,pumba tupu.Kataeni na michango yao ya kwenye bajeti.Mnaleta uhuni afu mnataka watu wakenue.Useless.

Chama cha ajabu,wanachama wake nao watu ajabu.Basi kazi kweli kweli.Siku tutapokuwa kama Libya ndo tutaheshimiana.
 
Issue ya zenji wabongo mnapiga tu kelele hamjui kitu, cuf kujitangazia matokeo si sababu pekee ilosababisha jecha kutengua uchaguzi, Pemba kulikuwa na magumashi kibao yalosababisha uchaguzi ufutwe, acheni mahaba ya vyama kwenye suala la kitaifa.
Alafu mkae mkijua wazungu hawatutakii mema, hawana rafiki wa kudumu, mzungu akianza kukukataa, haswa kwenye masuala ya siasa, you're on the right way.
So guys, you need to see beyond the clouds, ukiishia kuona kwenye mawingu hapo utalia lia tu wakati hujui kitu, ni kama vile mtoto analilia kwenda kushika kitu cha moto, mzazi anamzuia akijua fika pale kuna madhara gani, ndio nyinyi walalamikaji navowaona, quick to condemn, see the bigger picture first, then condemn
 
uzuri ni kwamba unayempasha kwanza hata aeiou za kiswahili hana mda nazo: ushauri tu kwa mleta maada mwandikie barua umpelekee ofisini kwake na wala sio humu jf; vinginevyo nitakubaliana na wale ambao wamekuita wewe unapendeza na hizo nguo za rangi ya .... lakini kichwani ni sifuri kabisa.
 
uzuri ni kwamba unayempasha kwanza hata aeiou za kiswahili hana mda nazo: ushauri tu kwa mleta maada mwandikie barua umpelekee ofisini kwake na wala sio humu jf; vinginevyo nitakubaliana na wale ambao wamekuita wewe unapendeza na hizo nguo za rangi ya .... lakini kichwani ni sifuri kabisa.
Usijidanganye, ujumbe wanaupata, tena fresh hapo hapo ubalozini.
Tena kila balozi inakuwa na mtu wa kuperuzi magazeti na mitandao juu ya nchi yake.
Ndio kazi waliyotumwa kufanya na serikali yao.
Na mimi nakubaliana na mada aliyoleta mtoa mada.
Sijui siku hizi UVCCM imekufa?
Hapo tayari ni motisha kwa kuandamana ubalozi kuingilia siasa za ndani.
 
SALAMU HIZI ZIMFIKIE BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA, ATAONDOKA YEYE CCM ATAIACHA HAPA HAPA


Balozi wa Nowary nchini Tanzania Ms Hanne Marie Kaastard ana bidii na juhudi ya kuhakikisha anasimamia kuona CUF inatawala Zanzibar. Huo ndio msimamo wa nchi yake wa muda mrefu. Haipendi CCM wala haipendi SMZ. Sera za Norway kwa Zanzibar zinajulikana tangu asubuhi.

Hastaajabishi kusikia kwamba kaenda ofisi za CUF na kuonana na Mazroui na Jussa hili Gazeti lililotoa hii habari nafikiri mwandishi wake anatumika kuweka DRIP za lala salama. kutia hofu na shauku ya kujua nini kimeongelewa. Sisi tunasema hatuna haja ya kujua Perpetrators kama Balozi wa Norway nini kasema au kateta na CUF.

Anakuja Zanzibar kila siku na kwenda hadi nyumbani kwa Maalim Seif. Kila siku anaonekana mahotelini Serena na Hyatt na akina Jussa. lunch, dinner and even for coffee meetings.Mugabe ameshawapa salam zao juzi. They should shush their mouths kwa issues ya CCM kutawala.

Na sisi tunawaambia Norway na maajent wao wengine hatuhitaji wao waje watuambie nini tufanye. tuna katiba yetu. tuna sheria zetu na tuna uhuru wetu.Tuna maamuzi yetu, kama mtu kasusa katiba inamruhusu kumpa uhuru wake wa kufanya na kutofanya anachotaka.

Norway na wenzako punguzeni speed kwa Zanzibar, mnalolitaka kwa Zanzibar mmeshalikosa. si mafuta si gesi si political recognition havipo. Yale ya 1995 mlipopata fursa ya kutupanda kichwani sasa ulimwengu umebadilika.

Endeleeni kuwabeba wapinzani wa CCM kuanzia nyinyi wenyewe kama Ubalozi hapa Tanzania bali hata NGOs zenu feki za Ki Norway mlizoanzisha hapa Tanzania na Zanzibar kwa kisingizio cha kusadia jamii kumbe mna ajenda zenu.Norway timewashtukia mchana kweupe.Salaam tunajua zitawafika kupitia kwa Daily Paid vibaraka wenu mliowaweka Zanzibar.

Ahsante

Mtandao wa wanyonge waliowengi Zanzibar
Mtandao wa majuha waliowengi:

Nini maudhui hasa ya makala haya. Kumfundisha kazi Blozi wa Norway au kumtisha kama vile mnavyofanya kule Zanzibar baada ya wananchi waliowengi kukutaeni kwenye sanduku la kura?
Hivi mnajua kazi za Balozi au mnazifafanisha na Balozi wa CCM wa nyumba kumi?
Ama kweli Nyani haoni kundule, hivi mmekwishsahau kabisa wakati abalozi wa China alivyoshiriki siasa na kudiriki hata kuvaa T shirt ya CCM

Huu ni ujuha au upumbavu, hivi mnataka Balozi akija Zanzibar awe bubu asiseme na awe peke yakempaka aondoke au kwa sababau hajakutana na kukualikeni mazobwe na vibarkoa vya kisonge ?

Mjue Balozi hauongozwi na sera za barikoa na mazombwe wa CCM na kama kenda kinyumea na taratibu ya kazi yake Wizara ya mabo ya nje ipo na ndio kazi yake. Ni ujuha kufikiria Norway ambayo moja ya nchi tajiri duniani kubabaika na rasilmali ya mafuta ambayo yeye mwenyewe ni mzalishaji mkubwa wa mafuta.
Zanzibar isiwe mkosefu wa fadhila kwa mengi Norway alioifanyia ZANZIBAR

ushauri wa bure kwa washirazi

"Shirazi Association"a msikubali kuburuzwa na hawa "African association" kuidhulumu na kuiangamiza Zanzibar.wanakuja na kila sura na hila ili mradi wakitwae kisiwa hiki. Yakumbukeni aliotuusia mwana kinakindaki Sheikh Ameir Tajo (MBE) mwana siasa wa kwanza mzalendo Zanzibar na kutunabahisha. Ukiwa kijana na huyajui mvute mzee wako pembeni umuulize kisa Sheikh Ameir Tajo kuikataa ASP na kuunda ZPPP

Mtandao huu sio wenu unaandaliwa na PAPA njaa lenye hamu na shauku la KUIMEZA Zanzibar AMKENI
 
SALAMU HIZI ZIMFIKIE BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA, ATAONDOKA YEYE CCM ATAIACHA HAPA HAPA


Balozi wa Nowary nchini Tanzania Ms Hanne Marie Kaastard ana bidii na juhudi ya kuhakikisha anasimamia kuona CUF inatawala Zanzibar. Huo ndio msimamo wa nchi yake wa muda mrefu. Haipendi CCM wala haipendi SMZ. Sera za Norway kwa Zanzibar zinajulikana tangu asubuhi.

Hastaajabishi kusikia kwamba kaenda ofisi za CUF na kuonana na Mazroui na Jussa hili Gazeti lililotoa hii habari nafikiri mwandishi wake anatumika kuweka DRIP za lala salama. kutia hofu na shauku ya kujua nini kimeongelewa. Sisi tunasema hatuna haja ya kujua Perpetrators kama Balozi wa Norway nini kasema au kateta na CUF.

Anakuja Zanzibar kila siku na kwenda hadi nyumbani kwa Maalim Seif. Kila siku anaonekana mahotelini Serena na Hyatt na akina Jussa. lunch, dinner and even for coffee meetings.Mugabe ameshawapa salam zao juzi. They should shush their mouths kwa issues ya CCM kutawala.

Na sisi tunawaambia Norway na maajent wao wengine hatuhitaji wao waje watuambie nini tufanye. tuna katiba yetu. tuna sheria zetu na tuna uhuru wetu.Tuna maamuzi yetu, kama mtu kasusa katiba inamruhusu kumpa uhuru wake wa kufanya na kutofanya anachotaka.

Norway na wenzako punguzeni speed kwa Zanzibar, mnalolitaka kwa Zanzibar mmeshalikosa. si mafuta si gesi si political recognition havipo. Yale ya 1995 mlipopata fursa ya kutupanda kichwani sasa ulimwengu umebadilika.

Endeleeni kuwabeba wapinzani wa CCM kuanzia nyinyi wenyewe kama Ubalozi hapa Tanzania bali hata NGOs zenu feki za Ki Norway mlizoanzisha hapa Tanzania na Zanzibar kwa kisingizio cha kusadia jamii kumbe mna ajenda zenu.Norway timewashtukia mchana kweupe.Salaam tunajua zitawafika kupitia kwa Daily Paid vibaraka wenu mliowaweka Zanzibar.

Ahsante

Mtandao wa wanyonge waliowengi Zanzibar
POVU Kibao, Nilidhani Kuna Hoja Yenye MASHIKO, Kumbe Jitu Linapayuka Na Povu Kumtoka Tu! JUZI Mlikuwa Mnasema CUF Wakitawala Zanzibar, Basi Usulutan Utarejea Zanzibar, MAANA Wao Ni Machotara Na Waarabu Ndio Wanaowafadhiri, Ili Warejee Zanzibar Tena!!! LEO Mmesahau, Mmehamia Kwa Wazungu, Kuwa Wanafadhiri CUF, Ili Ingie Madarakani, Na Wao Waje Kuvuna Rasimali Za ZANZIBAR!!! SIJUI Kama Kuna Jambo Ambalo Ww Au Hao Wanakuweka Msukule! MNAWEZA KUTOA Kuthibitisha Hayo Mnayopayuka Humu!! ETI Mafua Na Gesi, Ndio Chanzo Cha Wao Kujaribu Kutaka Kuingia ZANZIBAR!!! Ndorooobai!! HAYO Mafua Na Gesi Viko Wapi!!!?? KAMA Mnaona Wanaingilia Mambo Yenye Maslahi Kwa CCM!! BASI Si Mfunge Huo Ubalozi Na Kumfukuza Huyo Balozi Wake!! AU Si Muombe Kwa Norway Kumuondoa Nchini Huyo Balozi Wao!!!! KAMA Huo UTHIBITISHO Mnao, Kuonyesha Hizo Tuhuma!! IKIWA Mnapopayuka Lina UKWELI!!!?? OTHERWISE Ni Propaganda Zile Zile Tu, Za Kizamani!!!!
 
Kama ccm mnafanya uhuni msiambiwe?Kawaambie Bakwata wasiwasaidie Ccm maana wao na itaka cuf kukubali kurudia uchaguzi
Nilipokua nasikia waislam hawaipendi na wengine kutoitambua Bakwata nilikua nashangaa!!
Lakini nilipoona inatumika kisiasa ndy nikajua.
 
Hivi ni Norway peke yake ndio waliosema uchaguzi Zanzibar ulikua wa huru na haki ??
Lubuva na Balozi Amina pia wamesema Uchaguzi ulikuwa poa tu, lakini kwa Zanzibar kwa sababu hawakupata nafasi ya kumtangaza Dr. Shein kuwa mshindi wameamua kufanya maigizo ya uchaguzi ili wamshindishe na kumtangaza "mshindi".

Link 1. Msaada: Nini kitatokea iwapo CUF hawatashiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar?

Link2. Jecha alitumwa na nani kufuta matokeo ya Uchaguzi Zanzibar

Link3.Uchaguzi Zanzibar: Hongera Rais Magufuli kwa msimamo sahihi

Link4. Uchaguzi Zanzibar: Hongera Rais Magufuli kwa msimamo sahihi
 
MMMMmmh Akili nywele.....maana mleta mada hana anachopata kutoka kwa CCM, na umaskini hautowatoka kamwe!!! Endelea kuuza Tshirt na Kofia za kijani upate vijisenti vya mboga....wenzio wanazidi kupeta!
kweli mkuu ccm hasa zenj wapi hoi zaid ya kapelo
 
Nadhani ni kupoteza muda wako bure kuhangaika kumshambulia huyo balozi wa Norway, kama kuna wa kuwashambulia katika hilo la kutotaka CCM kuendelea kutawala ni wazanzibar wenyeww maana ndiyo waliopiga kura za kuichagua CUF.
Ungekuwa muwazi tu kama wana CCM wenzako ambao wameweka wazi na kuwapasha hao wazanzibar kuwa wao hawawezi kuondolewa madarakani kwa makaratasi.
Huko Norway ni kina kirefu kwako na mbaya zaidu ni wrong target.
 
Back
Top Bottom