Akili zetu waafrika ni tabu, kila tatizo linalotukabili tuna kimbilia kumpa lawama mzungu?!!sio kila tatizo letu chanzo ni nje, sisi wenyewe ndio hasa wenye shida!!toka wametuachia uhuru ni zaidi ya miaka 60!!maji safi tu na salama bado ni tabu?afya bado ni tabu, uchaguzi mnafanya mtu anakatalia madarakani, hapo ni mzungu?kila leo katiba zinabadirishwa ili mtu asitoke madarakani , hapo ni mzungu?!!wanaoleta tabu congo ni kagame na mseveni hao ni MABEBERU?umoja wa afrika uko wapi kuwakemea?unafikikiria chanzo cha jk kutofautiana na kagame ilikuwa ni nini?si baada ya jk kupelekea wanajeshi kupambana na M23?!!Acha na wao wapate machungu ya vita vya Congo.
Wasifuraie kuvuna mali tu.
Duuh Safi sana documentary yake nzuri sanaYes alikua pale ubalozi wa Denmark, mm nilihudhuria training yake ,Niko na Picha zake ni friend wangu sana tu
Wanamfanyaje sasa?View attachment 1709742
Huyu hapa masikini..
Itakua ajabu sana sehemu ya nchi ipewe nchi nyingine,itakua ni maajabu ya duniaSidhani lkn kuna vugu vugu kubwa tu la chini kwa chini Ndani ya Congo
Wameshapewa mkuuHii kesi watapewa FDLR
Ni kweli mkuu!!umkaribishe mgeni kwako, baada ya muda na yeye anasema ni kwake hapo!!kama vipi mgawane eneo!!mfano kule sud kivu, kuna sehemu inaitwa FIZI, na sehemu nyingi za UVIRA, kuna wanyamulenge wengi tu toka RWANDA, walienda kule miaka mingi, kwa ajiri ya malisho ya mifugo, leo hii na wao wanataka eneo kuwa ni la kwao?!!ndio mizozo hiyo ya kila leo.ile operation aliyoiendesha jk miaka ile alishaliona hili!!Itakua ajabu sana sehemu ya nchi ipewe nchi nyingine,itakua ni maajabu ya dunia
Kagame unaweza kukuta yeye ndio yuko behind ya hiki kifo ila kwa kushirikiana na wajanja wenzake wamewapa fdrl msala ili ipotezwe kabisa dunianiWameshapewa mkuu
Kwani mkuu hawa FDRL hawana mahusiano mazuri na PK?Kagame unaweza kukuta yeye ndio yuko behind ya hiki kifo ila kwa kushirikiana na wajanja wenzake wamewapa fdrl msala ili ipotezwe kabisa duniani
Wahutu toka lini wakawa na mahusiano mazuri na kagameKwani mkuu hawa FDRL hawana mahusiano mazuri na PK?
Sikuwa nafahamu kama ni wahutu, it make sense.. inawezekanaWahutu toka lini wakawa na mahusiano mazuri na kagame
Democratic forces of liberation of rwanda,nadhani kirefu cha fdrl ni hivi kama niko wrong wakuu wenye kujua zaidi watanisahihishaSikuwa nafahamu kama ni wahutu, it make sense.. inawezekana
Hapo alukua bado majeruhi..wanajaribu kumsaidia
Hahahaha, hilo linajulikana, sasa unadhani nn kitafuata?Wameshapewa mkuu
Kagame unaweza kukuta yeye ndio yuko behind ya hiki kifo ila kwa kushirikiana na wajanja wenzake wamewapa fdrl msala ili ipotezwe kabisa duniani
Kwani mkuu hawa FDRL hawana mahusiano mazuri na PK?
Wahutu toka lini wakawa na mahusiano mazuri na kagame
Sikuwa nafahamu kama ni wahutu, it make sense.. inawezekana
Taarifa ni nyingi ila kuna hali mbaya ya ki usalama huko Congo RDDemocratic forces of liberation of rwanda,nadhani kirefu cha fdrl ni hivi kama niko wrong wakuu wenye kujua zaidi watanisahihisha
Taarifa ni nyingi ila kuna hali mbaya ya ki usalama huko Congo RD
Ni angle ya kuwaingia na kufanya hivyo unavyofikiriaFdrl naona wamekanusha tuhuma za kuuwa kwa balozi wa italy,wanadai wao wako mbali sana na eneo la tukio,but nanusa kitu hii inaweza ikawa ndio mwisho wa fdrl paka anaenda kuwafuta kabisa kama TZ ilivyoifuta m23
Tayari washapewaHii kesi watapewa FDLR
Yaani kinachoshangaza ni kwamba majeshi ya UN yapo, raia wanauawa kwa kukatwa mapanga na vikundi vya waasi ,na matukio hayazuiliwi labda kwa kuwa ni balozi wa Italy UN watachukua hatua.Ni jambo jema kwa upande wangu.
Hao ndio wanachochea vurugu DRC isitulie ili wakwapue maliasili....sasa acha nao waonje chungu ya kupigwa risasi za mbavu ili ndugu zao huko Ulaya na Marekani akili ziwakae sawa.
Mkuu sidhani kama mali ndio tatizo kwenye jimbo la KIVU - kinacho endelea pale kuna nchi zina fund waasi na kuwapa silaha, ajenda ya siri ni kutaka Jimbo la KIVU lijitenge baadae lijiunge na Taifa watakalo taka - ni plan za muda mrefu hizi.Shida ya Congo mali imegeuka laana.