Balozi Maajar kuwa mjumbe wa bodi Tanesco kuna walakini, tumesahau ya Dowans?

Moja ya Jambo la kushangaza ni kitendo cha kusahau mara kwa Mara, na hii inapelekea mara nyingi serikali kufanya maamuzi ambayo huligharimu taifa.

Tunaweza kusema labda hizi ni zama mpya, lakini zikiwa na watu walewale tena waliofanya madudu basi shaka na wasiwasi vitazidi kuongezeka. Ni kweli hatuna watu wapya?

Balozi Maajar kateuliwa ujumbe bodi ya Tanesco ila wamesahau yaliyotokea kati ya Tanesco na Dowans. Ni pengine kwa makusudi au kwa bahati mbaya tu.

Balozi Maajar akiwa mwanasheria kupitia ile kampuni yao ya Sheria ndio alihusika na kushauri serikali kuhusu sheria ya madini.

Hapo hapo kupitia ile kampuni yao(sitaitaja wengi mnaikumbuka tu) akawa wakili wa kampuni za madini.

Akaja kuishauri Benki moja kuwa Dowans ni kampuni inayoaminika wapewe mkopo kufanya kazi na Tanesco.

Baadae akaja kuishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans kwamba ni kampuni tata.

Kilichofata akalipwa pesa kwenda kuitetea Tanesco na kushindwa.

Kifupi alikuwa akishirikiana na hizo kampuni ku....... Uhuru wa maoni bado sina hakika kama umerudi.

Ila yote haya Mh.Zitto anayajua, nimeshangaa kuona akipongeza uteuzi wa bodi ikiwa anajua Kuna mtu yumo humo na alihusika pakubwa kwenye kesi ya Tanesco na Dowans.

Anyway................ngoja tusubiri.
Shivji kasema inaitwa Rex Attorneys
 
Moja ya Jambo la kushangaza ni kitendo cha kusahau mara kwa Mara, na hii inapelekea mara nyingi serikali kufanya maamuzi ambayo huligharimu taifa.

Tunaweza kusema labda hizi ni zama mpya, lakini zikiwa na watu walewale tena waliofanya madudu basi shaka na wasiwasi vitazidi kuongezeka. Ni kweli hatuna watu wapya?

Balozi Maajar kateuliwa ujumbe bodi ya Tanesco ila wamesahau yaliyotokea kati ya Tanesco na Dowans. Ni pengine kwa makusudi au kwa bahati mbaya tu.

Balozi Maajar akiwa mwanasheria kupitia ile kampuni yao ya Sheria ndio alihusika na kushauri serikali kuhusu sheria ya madini.

Hapo hapo kupitia ile kampuni yao(sitaitaja wengi mnaikumbuka tu) akawa wakili wa kampuni za madini.

Akaja kuishauri Benki moja kuwa Dowans ni kampuni inayoaminika wapewe mkopo kufanya kazi na Tanesco.

Baadae akaja kuishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans kwamba ni kampuni tata.

Kilichofata akalipwa pesa kwenda kuitetea Tanesco na kushindwa.

Kifupi alikuwa akishirikiana na hizo kampuni ku....... Uhuru wa maoni bado sina hakika kama umerudi.

Ila yote haya Mh.Zitto anayajua, nimeshangaa kuona akipongeza uteuzi wa bodi ikiwa anajua Kuna mtu yumo humo na alihusika pakubwa kwenye kesi ya Tanesco na Dowans.

Anyway................ngoja tusubiri.
Kama kuna jambo la kukwaza watu wapenda haki ni hiki kitu cha mama kuwarudisha wapigaji serikalini. Ccm ilishawatema wezi ila wanarejea tena chini ya serikali ya mama. Ccm wajue hawana hati miliki ya kuongoza nchi hii na magufuli ndio aliwaokoa.
 
Naomba MUNGU anilinde 2025 kunaenda kutokea Bomu kubwa ndani ya CCM,JWTZ na TISS....
Huyu mama hawezi kutoboa tena 2025
 
Moja ya Jambo la kushangaza ni kitendo cha kusahau mara kwa Mara, na hii inapelekea mara nyingi serikali kufanya maamuzi ambayo huligharimu taifa.

Tunaweza kusema labda hizi ni zama mpya, lakini zikiwa na watu walewale tena waliofanya madudu basi shaka na wasiwasi vitazidi kuongezeka. Ni kweli hatuna watu wapya?

Balozi Maajar kateuliwa ujumbe bodi ya Tanesco ila wamesahau yaliyotokea kati ya Tanesco na Dowans. Ni pengine kwa makusudi au kwa bahati mbaya tu.

Balozi Maajar akiwa mwanasheria kupitia ile kampuni yao ya Sheria ndio alihusika na kushauri serikali kuhusu sheria ya madini.

Hapo hapo kupitia ile kampuni yao(sitaitaja wengi mnaikumbuka tu) akawa wakili wa kampuni za madini.

Akaja kuishauri Benki moja kuwa Dowans ni kampuni inayoaminika wapewe mkopo kufanya kazi na Tanesco.

Baadae akaja kuishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans kwamba ni kampuni tata.

Kilichofata akalipwa pesa kwenda kuitetea Tanesco na kushindwa.

Kifupi alikuwa akishirikiana na hizo kampuni ku....... Uhuru wa maoni bado sina hakika kama umerudi.

Ila yote haya Mh.Zitto anayajua, nimeshangaa kuona akipongeza uteuzi wa bodi ikiwa anajua Kuna mtu yumo humo na alihusika pakubwa kwenye kesi ya Tanesco na Dowans.

Anyway................ngoja tusubiri.
Mama kitendo tu cha kumchagua makamba ndo nimewekee xxxxx kwenye utawala huu maani tunarudi kwenye zero groud kabisa kwa kasi ya ajabu sio kipya maana huyo mtu anamarafiki wwngi wapiga dili na atataka kuwaridhisha kila mmoja
 
Tafuta connection ya deals jomba acha kulalamika CCM haina jipya utalalamika mpaka unakufa. Tafuta deal mzee uachane na hizi maneno CCM ni ileile.
CCM wakupe dili? We huoni wenyewe tu wanatoana roho
 
Moja ya Jambo la kushangaza ni kitendo cha kusahau mara kwa Mara, na hii inapelekea mara nyingi serikali kufanya maamuzi ambayo huligharimu taifa.

Tunaweza kusema labda hizi ni zama mpya, lakini zikiwa na watu walewale tena waliofanya madudu basi shaka na wasiwasi vitazidi kuongezeka. Ni kweli hatuna watu wapya?

Balozi Maajar kateuliwa ujumbe bodi ya Tanesco ila wamesahau yaliyotokea kati ya Tanesco na Dowans. Ni pengine kwa makusudi au kwa bahati mbaya tu.

Balozi Maajar akiwa mwanasheria kupitia ile kampuni yao ya Sheria ndio alihusika na kushauri serikali kuhusu sheria ya madini.

Hapo hapo kupitia ile kampuni yao(sitaitaja wengi mnaikumbuka tu) akawa wakili wa kampuni za madini.

Akaja kuishauri Benki moja kuwa Dowans ni kampuni inayoaminika wapewe mkopo kufanya kazi na Tanesco.

Baadae akaja kuishauri Tanesco kuvunja mkataba na Dowans kwamba ni kampuni tata.

Kilichofata akalipwa pesa kwenda kuitetea Tanesco na kushindwa.

Kifupi alikuwa akishirikiana na hizo kampuni ku....... Uhuru wa maoni bado sina hakika kama umerudi.

Ila yote haya Mh.Zitto anayajua, nimeshangaa kuona akipongeza uteuzi wa bodi ikiwa anajua Kuna mtu yumo humo na alihusika pakubwa kwenye kesi ya Tanesco na Dowans.

Anyway................ngoja tusubiri.
Alah akbaru hawezi kuona tatizo kwa sababu ni wa upande wake! Tutamkumbuka Dkt Magufuli.
 
CCM nimeamini wote walewale tu, nilitegemea watu Kama Hawa kuwekwa mbali kabisa na mfumo.
Ila ndio wanarudi.

Usishangae miaka ya baadae Sabaya akawa waziri. Aisee
Tuliwaambia ccm bila ya magufuli ni mafii ya kuku
 
Tusiache kuliombea Taifa.
Mama ameniskitisha sana kuwarudisha walie walioumiza watanzania mika nenda rudi kwa kodi zao leo tena anawarudisha tena jamani .au mama amezawwliww juzi hajui familiar ya akina sinare ipoje jamani
 
Back
Top Bottom