Umeiona?Picha hakuna?
Najua ameiona ila hatajibu. Hawataki kuambiwa ukweli ila wanapenda uzushiuzushi!Umeiona?
Ni kujipendekeza tu
Mtu waliomwita msaliti,Dr Mihogo,Samsoni na kila baya kumuombea.Kweli chadema wamefulia
Mkuu ni lazima tukiri kwa kweli...inawezekana marehemu, mdogo wake Dr, alikuwa ni mwana-chadema.
..pia ktk masuala ya kifo, wanasiasa huweka tofauti za kiitikadi kando.
..Utakumbuka Mzee Kingunge msiba wake ulihudhuriwa na viongozi na wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa nchini.
Mkuu anaongelewa Dr.Slaa sio MunguMunguNi Mwema Wakati Wote
Huyo HuyoMkuu anaongelewa Dr.Slaa sio Mungu
Mkuu ni lazima tukiri kwa kweli.
Kukubali kukipoteza hiki kichwa ndio imekuwa kifo cha CHADEMA.
Na kwa mwenendo ninaouona kwa sasa, wacha tuendelee kumsingizia JPM na Polepole tu, lakini ukweli tulijiua wenyewe 2015.
Chama kwa sasa kimebaki na washangilia kukamatwa kwa Bombadier zetu tu na kushabikia ACACIA tu.