Huu muungano hata siuelewi...ngoja akirudi Mwalimu Nyerere anaweza lkutoa ufafanuzi!
Mwl Nyerere amesharudi, alirudi November 2015 kwa mbwembwe haswa, ila kwa jina la Dr John Pombe Joseph Magufuli ambaye ndiye Rais (tena) kwa sasa. Viwanda vyote vilivyozikwa na awamu ya tatu na nne pamoja na mashirika yote ya umma yanarudi na mifano ipo(Reli, Ndege). Tunaimani kuwa nyumba zote zitarudishwa na ili aweza kukamilisha kazi hii ni lazima huyu Mwl Nyerere II aendelee kupiga kazi mpaka 2035 kwa ruksa ya kura za Wananchi.