Balo la viatu vya Mtumba

Balo la viatu vya Mtumba

viatu vya mbeya na ata mitumba ya nguo ya mbeya zote zinatoka dar.
Ila kinachofanyika wafanyabiashara weng wa mbeya wenye mitaji mikubwa wanasgiza direct China alaf haifunguliwi inaenda kufunguliwa mbeya so ujanja ujanja haiwi mkubwa sana ndio maana bado unakutana na vitu vizur kwa bei ndogo.

Dar balo linafunguliwa ikifika alaf muuzaji nae anachambua zake kwa washkaji wake ndio uje wewe lazma ukutane na lonya lonya. ila ata mbeya wanachambua kwanza ila haipiti kwenye mikono ya wengi.
Aisee Mbeya viatu vikali sana mzee af bei kitonga sana
 
Last week nilikwenda Mwanza kuulizia kuhusu Viatu

Jamaa mmoja akaniambia kufungulisha baloo grade 1 unatakiwa uchague pea zisizo pungua 30 na kila pea moja ataniuzia 12,000/pea

Ukichukua 30*12,000=360,000/=

Nikaona isiwe tabu nikaja kwa mshikaji wangu anauza Viatu pia nikaomba ushauri alichonijibu nikashangaa Sana

Mshikaji akaniambia ni bora ninunue robota ambalo ni shilingi 400,000/= na zinakaa pea kuanzia 50-55 ukizigawa 400,000/50=8000 sasa ukilinganisha bei ya yule mshikaji wa kufungulisha tayari kanipiga 4000 kwa kila pea na hapo ndo nikamkumbuka mentor wangu CONTROLA kwenye somo lake la kumkwepa Mtu wa kati aka dalali

Hapo kwenye robota lenye pea 50 Ukiondoa pea 30 ambazo utafungulisha zimebaki pea 20 ambazo kwenye laki 400,000-360,000=40,000 je hizo pea 20 akiuza 5000*20=100,000 kweli mjini ukiingia kichwa kichwa unanyolewa bila maji

Kila la kheri mkuu Jitahidi kufanya research kwanza ujiridhishe ndo ununue mzigo

Cheers
Kama unaanza biashara, huyo jamaa wa Mwanza amekupa ushauri mzuri kwa kuwa atakuuzia viatu ambavyo ni chaguo lako.

Robota ni kama kuingiza mkono gizani na unakuwa hujui kile utakachotoka nacho. Na niliwahi kusikia ili biashara isisumbue ni heri kununua robota zaidi ya mbili.

Kwa maana ya kwamba marobota yaweze kubebana, ikiwa kati yake ikiwa na viatu vibaya vingi.

Ova
 
Unaweza kunielekeza niende maana nataka kuanza biashara ya viatu na yebo za mtumba
Kuna rafiki yangu ni mghana anastore yake maeneo ya karikaoo karibu kabisa na ilala niko tayari kukuelekeza uende mwen
 
Kupoint ndio njia bora na ya uhakika kwa mtu anaefanya biashara za Mtumba (nguo na viatu)

Kununua baloo ambalo hujui ndani kuna nini huna tofauti na mtu anae BET anampa ushindi PSG angali anajua yupo kundi hatari sana.

ukifanya biashara ya mtumba ku point ndio njia salama na nafuu na uhakika 98% kula faida,uki point pair unapoint kitu tunaita SUMU yani unapoint kiatu kabla hujakfksha dukani ukiwa pale pale sokoni unavpanga vizuri kwenye begi Watu wanakupandia DAU.

Nakumbuka siku 1 huko nyuma nikiwa chuo kama kawaida yangu kwenda kununua viatu kwa ajili yangu binafsi nilipoint kiatu kimoja kikali sana kwa sh 7000 ila jamaa akaingia tamaa akasema nimpe 8000 nikampa,kile kiatu nilikiuza pale pale sokoni kwa 50,000 Japo kusema ukweli nilikiuza huku roho inaniuma kwanini sijakivaa hata mara 1 (niosheee)

Hadi na leo hiii na point viatu vya mwanangu, ni viatu ambavyo akivaa mtoto lazima uhisi ni toto la kishua,hadi leo hiii na point viatu vyangu binafsi nikiona tu nimeishiwa Nadamka siku 1 nawahi location nakuta nishaandaliwa mzigo wangu,nabeba nasepa.

KWANINI NAKUSHAURI KU POINT?

siku hizi wafanyabiashara hawataki hasara tena wameshachoka kula hasara kwahiyo baloo likiingia tu wanalirarua usiku usiku wanachambua nguo kali kali au viatu vikali vikali kisha balo linapigwa tena mkanda linakua kama lipo sealed halijaguswa.

wewe ukiliona unadhani halijaguswa ila ushachelewa wajanja zaidi yako wachalichana muda tuuu wakatoa vinavyowafaa,sasa wewe ukiwa mnunua Balo kila siku utalamba hasara na mwisho utaona biashara mbaya wakati si kweli kwamba biashara mbaya,katika biashara nzuri na zenye pesa ni biashara za nguo za mtumba za kike + viatu (aina zote) ukijua kupoint hii ni biashara ambayo ukiianza kuiacha utaiacha YESU akirudi.

Biashara ya kupoint raha n unapoint kitu kwa 3000 unakiuza 30,000 na anaeuziwa anaondoka anachekelea mpk jino la mwisho,ni biashara ambayo kwasiku unahitaji wateja wako wawili tu wafike dukani.

mTeja wa kwanza kanunua Raba uliyo ipoint kwa 5000 wewe unamuuzia 25,000 (20k faida)

mTeja wa pili kanunua sendo uliyoipoint kwa 8000 wewe unamuuzia 35,000 (27k faida)

ukipga Total ya faida kwa siku umeingiza 47,000 hivi unafikiri utakaa uache hiii biashara? Never ni Ujio wa Yesu tu ndio utakufanya uache hii biashara.

Baloo ni hasara katka pair utakazokuta kuna pair mbaya mbaya mbaya hata upewe bure huchukui,halafu mabalo mengine unakuta lina viatu namba ambazo hazina wateja namba zenye wateja wa PESA hukuti hata 1.

na mara nyingi wafunguaji mabalo usiku wanachomoaga pair za pesa ambazo ni namba kubwa kubwa kama 44,45 kuendelea hizo Pair ndio Pesa imelala na hutozikuta hizo pair popote paleee,zinatolewa mapemaaa Watu wenye miguu mikubwa hupata shida sana kupata viatu,sasa anapokuja dukan kwako akakukuta na kiatu kikali saizi yake Hata umwambie bei gani kama hela anayo "HAKIACHI"

nimejaribu kukwambia na kukuelezea umuhimu wa kupoint na kwanini,kwahiyo nadhani akili ukijumlisha na zako kichwani utakua umepata idea ya bora baloo au bora ku point.
Mzeeiya ninyi ndio mnaipa jamii forum utukufu wake barikiwa sana sana kwa niaba ya jf na wadau wake.like.
 
Kupoint ndio njia bora na ya uhakika kwa mtu anaefanya biashara za Mtumba (nguo na viatu)

Kununua baloo ambalo hujui ndani kuna nini huna tofauti na mtu anae BET anampa ushindi PSG angali anajua yupo kundi hatari sana.

ukifanya biashara ya mtumba ku point ndio njia salama na nafuu na uhakika 98% kula faida,uki point pair unapoint kitu tunaita SUMU yani unapoint kiatu kabla hujakfksha dukani ukiwa pale pale sokoni unavpanga vizuri kwenye begi Watu wanakupandia DAU.

Nakumbuka siku 1 huko nyuma nikiwa chuo kama kawaida yangu kwenda kununua viatu kwa ajili yangu binafsi nilipoint kiatu kimoja kikali sana kwa sh 7000 ila jamaa akaingia tamaa akasema nimpe 8000 nikampa,kile kiatu nilikiuza pale pale sokoni kwa 50,000 Japo kusema ukweli nilikiuza huku roho inaniuma kwanini sijakivaa hata mara 1 (niosheee)

Hadi na leo hiii na point viatu vya mwanangu, ni viatu ambavyo akivaa mtoto lazima uhisi ni toto la kishua,hadi leo hiii na point viatu vyangu binafsi nikiona tu nimeishiwa Nadamka siku 1 nawahi location nakuta nishaandaliwa mzigo wangu,nabeba nasepa.

KWANINI NAKUSHAURI KU POINT?

siku hizi wafanyabiashara hawataki hasara tena wameshachoka kula hasara kwahiyo baloo likiingia tu wanalirarua usiku usiku wanachambua nguo kali kali au viatu vikali vikali kisha balo linapigwa tena mkanda linakua kama lipo sealed halijaguswa.

wewe ukiliona unadhani halijaguswa ila ushachelewa wajanja zaidi yako wachalichana muda tuuu wakatoa vinavyowafaa,sasa wewe ukiwa mnunua Balo kila siku utalamba hasara na mwisho utaona biashara mbaya wakati si kweli kwamba biashara mbaya,katika biashara nzuri na zenye pesa ni biashara za nguo za mtumba za kike + viatu (aina zote) ukijua kupoint hii ni biashara ambayo ukiianza kuiacha utaiacha YESU akirudi.

Biashara ya kupoint raha n unapoint kitu kwa 3000 unakiuza 30,000 na anaeuziwa anaondoka anachekelea mpk jino la mwisho,ni biashara ambayo kwasiku unahitaji wateja wako wawili tu wafike dukani.

mTeja wa kwanza kanunua Raba uliyo ipoint kwa 5000 wewe unamuuzia 25,000 (20k faida)

mTeja wa pili kanunua sendo uliyoipoint kwa 8000 wewe unamuuzia 35,000 (27k faida)

ukipga Total ya faida kwa siku umeingiza 47,000 hivi unafikiri utakaa uache hiii biashara? Never ni Ujio wa Yesu tu ndio utakufanya uache hii biashara.

Baloo ni hasara katka pair utakazokuta kuna pair mbaya mbaya mbaya hata upewe bure huchukui,halafu mabalo mengine unakuta lina viatu namba ambazo hazina wateja namba zenye wateja wa PESA hukuti hata 1.

na mara nyingi wafunguaji mabalo usiku wanachomoaga pair za pesa ambazo ni namba kubwa kubwa kama 44,45 kuendelea hizo Pair ndio Pesa imelala na hutozikuta hizo pair popote paleee,zinatolewa mapemaaa Watu wenye miguu mikubwa hupata shida sana kupata viatu,sasa anapokuja dukan kwako akakukuta na kiatu kikali saizi yake Hata umwambie bei gani kama hela anayo "HAKIACHI"

nimejaribu kukwambia na kukuelezea umuhimu wa kupoint na kwanini,kwahiyo nadhani akili ukijumlisha na zako kichwani utakua umepata idea ya bora baloo au bora ku point.
Mkuu naomba location ya chimbola kupoint viatu.
Nina mdogo wangu anajitafuta ajira hana.
Natanguliza shukrani.
 
Bora upoint.
Kupoint ndio unafanyaje kiongozi?
He unachagua wanakupangia bei au bei unataja mteja, naomba muongozo maana nataka nianze kufuata sendo,viatu na backpack pale Karume kwaajili ya biashara
 
Kupoint ndio njia bora na ya uhakika kwa mtu anaefanya biashara za Mtumba (nguo na viatu)

Kununua baloo ambalo hujui ndani kuna nini huna tofauti na mtu anae BET anampa ushindi PSG angali anajua yupo kundi hatari sana.

ukifanya biashara ya mtumba ku point ndio njia salama na nafuu na uhakika 98% kula faida,uki point pair unapoint kitu tunaita SUMU yani unapoint kiatu kabla hujakfksha dukani ukiwa pale pale sokoni unavpanga vizuri kwenye begi Watu wanakupandia DAU.

Nakumbuka siku 1 huko nyuma nikiwa chuo kama kawaida yangu kwenda kununua viatu kwa ajili yangu binafsi nilipoint kiatu kimoja kikali sana kwa sh 7000 ila jamaa akaingia tamaa akasema nimpe 8000 nikampa,kile kiatu nilikiuza pale pale sokoni kwa 50,000 Japo kusema ukweli nilikiuza huku roho inaniuma kwanini sijakivaa hata mara 1 (niosheee)

Hadi na leo hiii na point viatu vya mwanangu, ni viatu ambavyo akivaa mtoto lazima uhisi ni toto la kishua,hadi leo hiii na point viatu vyangu binafsi nikiona tu nimeishiwa Nadamka siku 1 nawahi location nakuta nishaandaliwa mzigo wangu,nabeba nasepa.

KWANINI NAKUSHAURI KU POINT?

siku hizi wafanyabiashara hawataki hasara tena wameshachoka kula hasara kwahiyo baloo likiingia tu wanalirarua usiku usiku wanachambua nguo kali kali au viatu vikali vikali kisha balo linapigwa tena mkanda linakua kama lipo sealed halijaguswa.

wewe ukiliona unadhani halijaguswa ila ushachelewa wajanja zaidi yako wachalichana muda tuuu wakatoa vinavyowafaa,sasa wewe ukiwa mnunua Balo kila siku utalamba hasara na mwisho utaona biashara mbaya wakati si kweli kwamba biashara mbaya,katika biashara nzuri na zenye pesa ni biashara za nguo za mtumba za kike + viatu (aina zote) ukijua kupoint hii ni biashara ambayo ukiianza kuiacha utaiacha YESU akirudi.

Biashara ya kupoint raha n unapoint kitu kwa 3000 unakiuza 30,000 na anaeuziwa anaondoka anachekelea mpk jino la mwisho,ni biashara ambayo kwasiku unahitaji wateja wako wawili tu wafike dukani.

mTeja wa kwanza kanunua Raba uliyo ipoint kwa 5000 wewe unamuuzia 25,000 (20k faida)

mTeja wa pili kanunua sendo uliyoipoint kwa 8000 wewe unamuuzia 35,000 (27k faida)

ukipga Total ya faida kwa siku umeingiza 47,000 hivi unafikiri utakaa uache hiii biashara? Never ni Ujio wa Yesu tu ndio utakufanya uache hii biashara.

Baloo ni hasara katka pair utakazokuta kuna pair mbaya mbaya mbaya hata upewe bure huchukui,halafu mabalo mengine unakuta lina viatu namba ambazo hazina wateja namba zenye wateja wa PESA hukuti hata 1.

na mara nyingi wafunguaji mabalo usiku wanachomoaga pair za pesa ambazo ni namba kubwa kubwa kama 44,45 kuendelea hizo Pair ndio Pesa imelala na hutozikuta hizo pair popote paleee,zinatolewa mapemaaa Watu wenye miguu mikubwa hupata shida sana kupata viatu,sasa anapokuja dukan kwako akakukuta na kiatu kikali saizi yake Hata umwambie bei gani kama hela anayo "HAKIACHI"

nimejaribu kukwambia na kukuelezea umuhimu wa kupoint na kwanini,kwahiyo nadhani akili ukijumlisha na zako kichwani utakua umepata idea ya bora baloo au bora ku point.
Kupoint ndio unafanyaje kiongozi?
Je unachagua wanakupangia bei au bei unataja mteja, naomba muongozo maana nataka nianze kufuata sendo,viatu na backpack pale Karume kwaajili ya kufungua goli la biashara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom