JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,356
- 9,611
Wadau haya marobota yanapatikana wapi kwa hapa Dar?
Najitahidi robota mwa ajili ya kufanya biashara.
Mchango wa mdau
Najitahidi robota mwa ajili ya kufanya biashara.
Last week nilikwenda Mwanza kuulizia kuhusu Viatu
Jamaa mmoja akaniambia kufungulisha baloo grade 1 unatakiwa uchague pea zisizo pungua 30 na kila pea moja ataniuzia 12,000/pea
Ukichukua 30*12,000=360,000/=
Nikaona isiwe tabu nikaja kwa mshikaji wangu anauza Viatu pia nikaomba ushauri alichonijibu nikashangaa Sana
Mshikaji akaniambia ni bora ninunue robota ambalo ni shilingi 400,000/= na zinakaa pea kuanzia 50-55 ukizigawa 400,000/50=8000 sasa ukilinganisha bei ya yule mshikaji wa kufungulisha tayari kanipiga 4000 kwa kila pea na hapo ndo nikamkumbuka mentor wangu CONTROLA kwenye somo lake la kumkwepa Mtu wa kati aka dalali
Hapo kwenye robota lenye pea 50 Ukiondoa pea 30 ambazo utafungulisha zimebaki pea 20 ambazo kwenye laki 400,000-360,000=40,000 je hizo pea 20 akiuza 5000*20=100,000 kweli mjini ukiingia kichwa kichwa unanyolewa bila maji
Kila la kheri mkuu Jitahidi kufanya research kwanza ujiridhishe ndo ununue mzigo
Cheers