Silva alisema ballali ni huru na wala serikali haina shida naye (kabla hajafariki)
what if ukijibiwa balali hakuwa shahidi wala mtuhumiwa utafanyaje? wanaweza kukujibu hivi, balali was a nuisance.....and they are happy he is gone
Hapo jmushi maswali meeeeeeeeeengi lakini yanakosa majibu.......subilini report ya fisadi Mwanyika na Mwema ndio tutajua kama alikuwa shahidi au mtuhumiwa kwani hapo tutajadili kisha tutakosa majibu...alafu tusubili dada zake watue bongo watuambie wosia alio acha marehemu labda Mkono atakuwa anajua nasikia alikuwa kule....
what if ukijibiwa balali hakuwa shahidi wala mtuhumiwa utafanyaje? wanaweza kukujibu hivi, balali was a nuisance.....and they are happy he is gone
Well katika hili na Marehemu Balali ni kwamba alikuwa ni mtuhumiwa ambaye serikali iliamua kumuweka juu ya sheria!!! Na kwa sasa hivi nina uhakika wanasheherekea kwa kusema "Good Riddance."
Huyu alikuwa ni Mtuhumiwa namba moja katika Sakata Zima! Nasikitika kwa nini amekufa kabla ya hii kashfa haijamaliza kuchunguzwa!!!
Sasa utaona ambavyo tume ya EPA itafanya kazi kwa kasi ya ajabu!
Jmushi
Haya yako ndiyo maswali ya watu wote. Mimi huku Tanganyika niliko nakuambia kila kona watu wanaulizana maswali haya haya. Na kwa kweli si uongo nimesikia hata wana chukua chako mapema wakiguna kuhusu kifo cha huyu bwana na pesa zetu zitakavyopotea. Halafu si unajua siku za kukabidhi ripoti yenyewe hiyo ni wiki chache tu zijazo? Utasikia mwenyewe jinsi watakavyojiuma jiuma. Lakini hata hivyo waelewe hailiwi pesa ya mtu hapa. Tutabanana nao mpaka kieleweke.