kama wangekuwa ni watoto wa kiswahili wangetandikwa hadi wangejuuta.
..acha kabisa kuna siku nilikuta kabinti kangu ka mwaka 1 na miezi 3 kamejifungia kwenye friji mungu saidia hakakuonea kwenye friji vimiguu vimetokeza nje ilibidi tuangue kicheko cha mwaka!! lakini hivi vijamaa huwa vinafurahisha sana!!!ound:ound:ound:Mzazi ukifika wanakuuliza..Tumependeza eeh?