Napenda niwaulize bakwata na wanaoikubali bakwata inakuwaje funga ya arafaa iwe tarehe 20/7 jumanne badala ya 19/7 jumatatu.
Mtume mohamad s.a.w anasema fungeni siku ya arafaa. anakusudia kuwa mahujaji wanaposimama arafaa siku hiyo ulimwengu wote wafunge.
Sasa bakwata mnafunga siku mahujaji wamemaliza kisimamo kwenye uwanja wa arafaa siku ya pili yake ndio mnafunga. Huoni mnawapotosha waumini.
Ninawawahusia waislamu mwenye kumuamini mufti na sheikh wa mkoa malipo yao watayaona na mwenye kumuamini Allah na Mtume wake malipo yao watayapata.
Mtume mohamad s.a.w anasema fungeni siku ya arafaa. anakusudia kuwa mahujaji wanaposimama arafaa siku hiyo ulimwengu wote wafunge.
Sasa bakwata mnafunga siku mahujaji wamemaliza kisimamo kwenye uwanja wa arafaa siku ya pili yake ndio mnafunga. Huoni mnawapotosha waumini.
Ninawawahusia waislamu mwenye kumuamini mufti na sheikh wa mkoa malipo yao watayaona na mwenye kumuamini Allah na Mtume wake malipo yao watayapata.