propagandist
Member
- Aug 12, 2011
- 93
- 9
ahaaa kumbe bakwata hawana mchango katika chama chenu cha cdm kumbe wenye mchango ni RC?
Baraza kuu la waislamu Tanzania BAKWATA limewataka viongozi wa chadema kuwaomba radhi waislam kwani kitendo walichokifanya wabunge wake ni udhalilishaji dhidi ya uislam kufuatia wabunge wake kumvua hijabu DC Fatuma kimario kwani udhalilishaji waliomfanyia ni kama wamewadhalilisha waislam wote Duniani alisema Naibu mufti.
hatuombi radhi ng'o! Kwanza nyie mna mchango gani kwenye chama chetu? Make nyie ni taasisi iliyoundwa na ccm kama ilivyo kwa uvccm,uwt nk.
Tukiwaomba radhi ni kama kuiomba radhi ccm,kitu ambacho ni mwiko kwetu!
Viva CDM!
Baraza kuu la waislam Tanzania(BAKWATA), na Baraza kuu la Answar suna Tanzania(BASUTA), kwa pamoja wamelaani kitendo cha viongozi wa CDM Kumvua hijabu DC Fatuma kimario wamesema kitendo hicho walichofanya chadema kwa mujibu wa uislam ni kama wamewadhalilisha waislam wote Duniani kwa hiyo amewataka viongozi wa chadema kuwaomba radhi waislamu alisema Naibu mufti akiwa mjini Tabora, Fatuma ana imani yake japo ni DC, heshimuni imani yake kwani waliomchagua wanajua kuwa imani yake inamtaka avae hijab alisema sheikh mohamed issa wa Answar Sunna. taarifa ya habari Radio Imani.