Bakuli la CCM Mtwara!!

Bakuli la CCM Mtwara!!

HIyo mbona ni kawaida sana kwa CCM. We cha kufanya pigia kura chama kingine pale 2015. Bora upigie hata UDP kuliko CCM.
 
HIyo mbona ni kawaida sana kwa CCM. We cha kufanya pigia kura chama kingine pale 2015. Bora upigie hata UDP kuliko CCM.
Niliwahi kufanya kazi kampuni moja ya kigeni kule Mtwara, hawa wajinga wanakuja na mibarua yao yaani tena wanalazimisha kupewa hiyo michango, na sio mara moja yaani kila tukio likitokea wao na barua za kulazimisha michango. Wanaudhi sana makenge hawa.
 
Kwanza barua inalaumu kuwa ujio wa Kinana Mtwara ni wa ghafla.Ni kweli? Pili,gharama za mapokezi tu ndio milioni ishirini.Ni sahihi? Kukaa na kuagwa je? Chama changu hiki ni cha wezi na majambazi.Barua hii itakuwa imepelekwa kwa wafanyabiashara wakubwa kama iliyo kawaida yetu.CCM hatufai jamani...hamuelewi kitu gani wananchi?!
 
@MMAHE, na ruzuku yote hiyo bado wanatembeza bakuli? Si wachote tu kwenye kapu kuu la chama
 
Msafara wa watu 17!!! wa nini wote hao? Halafu watafune mil. 20!!!

Kweli kuna maendeleo?
 
Khaa, milioni ishirini kumkaribisha katibu mkuu? Kwani yeye hana bajeti yake ya hiyo safari? Sasa anayeombwa huo mchango hapo ni nani? No wonder CCM imeshindwa kudeal na mafisadi, maana hao ndiyo wanaochangia safari za akina Nape na viongozi wengine kwenda mikoani. Lakini CHADEMA wakichangisha kwenye mikutano inakuwa nongwa.

Nape tuombe radhi kwa kuuponda utaratibu wetu wa kuomba michango kwenye mikutano ilihali ninyi mnawaomba mafisadi kwa njia ya barua.
 
Halafu wanaenda kuwaambia wakulima wa korosho nini kama wameshawatembezea bakuli wale wafanyabiashara wakubwa wenye viwanda vya korosho

Si yale yale kuishia kutoa tamko kuwa bei ya korosho ipande kuwaahadaa wananchi huku wafanyabiashara na wenye viwanda wakichekelea kuwa pale hakuna kitu washawaweka hao akina Kinana na Nape mfukoni
Wadanganyika kweli tunajua kudanganywa aise
 
Hela zote za nini. Kwanini wasichangie kununua hata ya madawati ya watoto wanaokaa chini kuliko matumizi yasiyo na tija?
 
kweli dunia ina mambo,,,, ungeweka jina la huyo aliyeandikiwa hiyo barua ingekuwa poa sana
 
Shame on them, huwa wanatumia barua hizi kama intimidation kwa yule asiyewachangia
 
Mkuu Sam Upendo kwao ni halali kabis aila wakifanya wengine ni mwiko na balaa
Unafiki ulioje kusema unaenda kuongea na wafanyabiashara wenye kununua korosho na wakati huo huo watakaochangia ziara zako ni wale wale wafanyabiashara
Hapo hakuna mkulima hata mmoja atakeyetumiwa barua ya aina hiyo
 
Last edited by a moderator:
Kama wanawachangia basi wameenda huko kupandisha bei kwani ni ***** tu ndo hatohesabu kinachoingia mfukoni..4 ril naichukia ccm
 
Kama wanawachangia basi wameenda huko kupandisha bei kwani ni b.wege tu ndo hatohesabu kinachoingia mfukoni..4 ril naichukia ccm
 
Chama chao ni ombaomba na serikali wanayoongoza nayo ni ombaomba. Kwaiyo wataendelea kujenga nchi ya ombaomba pamoja na kwamba nchi hii inakila kitu cha kuifanya ijitegemee.
 
Mkuu Sam Upendo kwao ni halali kabis aila wakifanya wengine ni mwiko na balaa
Unafiki ulioje kusema unaenda kuongea na wafanyabiashara wenye kununua korosho na wakati huo huo watakaochangia ziara zako ni wale wale wafanyabiashara
Hapo hakuna mkulima hata mmoja atakeyetumiwa barua ya aina hiyo
CCM NI MAJAMBAZI KWELI. Hata kwenye uchaguzi wa hivi karibuni watumishi wa serikali walipata shida sana huko wilayani.Wakurugenzi walilazimishwa kutoa 100,000. wakuu wa idara wa halmsahuri kila moja 50,000 mbali na wafanyibishara walio katika wilaya husika. ccm ni janga na kwa sasa kuwa chini ya jangili Kinena ni balaa.
 
Back
Top Bottom