Bakuli la CCM Mtwara!!

Bakuli la CCM Mtwara!!

Barua hii ilikuwa inakwenda kwa nani au ni mtu yo yote yule anaweze kupewa? Na kwa mtindo huu ni rahisi pesa zikiishia mikono mwa wale walitumwa kupeleka barua hizo. Ndiyo namna ya wana CCM Mkoa na Wilaya kula alafu wanasema CCM ina wenyewe!

kwenye ofisi mbalimbali za mji huu,ikiwemo na ofisi yetu.ukiwapa wanatoa risiti kabisa. nilijitahidi kuficha barua isilipwe nikaishia kupewa warning!
 
Nazisikiaga tuu hizi habari kumbe zipo?? sio mbaya ila tatizo hawataweza kuwabana wafanya biashara wa korosho
 
Mbona ni kawaida!!! kwa hao SSM!! Uliza wahindi na wafanya biashara wote wakubwa barua kama hizi wanazo!! Na baada ya kufanikisha wanaandika za shukrani!! Ofisi ya Njake wa EPA pale Mianzini zimejaa tele!! Zaidi ya 50 hivi maana ni mfadhili mkubwa wa SSM AR sema sasa wanamnin'iniza na EPA!! Sijui hakupeleka zote Mangi yule au alitoa bila kusainisha wakamkana!!!
 
Back
Top Bottom