Bakhresa tuonelee huruma wapemba

Bakhresa tuonelee huruma wapemba

TURUFUDUME

Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
70
Reaction score
39
Kwa yeyote ambae yupo karibu nå mfanya biashara huyu namuomba amfikishie kilio chetu kwa niaba ya wapemba wote. Muheshimiwa BAKHRESA unasifiwa sana kama unawasaidia wanyonge hill lipo wazi kila mtu analiona, lakin kwa upande wetu wapemba bado msaada wako no kero kwetu , usafiri kati ya Unguja nå Pemba ni shida sana sana sana nå unalijuwa hili lakini kwa ukorofi wako au watendaji wako badala ya kutusaidia umezidi kutukandamiza , kwa mfano una speed bot zaid ya saba lakin hakuna hata moja inayofanya kazi kati ya Unguja nå Pemba, boti zako zote ni Unguja nå Dar tu umefikia kutowa ofa ya 16000 badala ya 23000 kati ya Unguja nå Dar kwa boti yako ya seabus 3 lakini hutaki kuipeleka Pemba kwa 30000 ili nå wapemba wapate angalau kujipumbaza. Umetuletea meli ya SEALINK1 nå ukasema ni kwa ajili ya wapemba badala yake baada ya kutukombowa imezid kutudhalilisha kwa mfano meli hoi inakuja Pemba Mara mbili kwa wiki lakin ukitaka ticket ni lazima ukate siku tatu kabla ya safari nå hivo ikienda kukata ticket unaweza ukauziwa Mara mbili ya bei halali nå wafanyakazi wako , hili Tisa kumi meli hii(SEALINK1) inauwezo wa kutembea kwa Massa manne kati ya Unguja nå Pemba lakini inatembea kwa zaid ya Massa 7 kati ya Unguja nå Pemba ili tu upate kuuza biashara yako ya vyakula nå vinywaji kwenye meli yako tena bila ya huruma hujali mule muna wagonjwa wanawah hospitali muna watu wamefiliwa wanawahi mazikoni n.k.Kwa niiaba ya Wapemba wote tunakuomba utuangalie kwa jicho LA huruma mama Wapemba hatuna mtetez serekali imeamuwa kututenga kwa kuamini kuwa wapemba ni wapinzani ingawa said ya %75 ya uchumi wa Zanziba unategemeaa kisiwa cha Pemba lakin huduma zote zinapelekwa Unguja nå kukiacha kisiwa cha Pemba kam yatima. Ukitizama meli za abiria zinazokuja Pemba at a kupakia mbwa wako kama unampenda huwezi lakin kwa vile hatuna nyengine nå tulioweng hatuna uwezo wa kupanda ndege basis tuna fikichana umomo kwenye mameli mabovi. SKU hizi kama uko dareslsm unataka kuja Pemba no lazima ulale unguja SKU ya pili ndio. utizame rehma ya mungu km kuna jahazi km kuna day mashua chochote kile ndo ufike Pemba ili mradi wapemb typo mashakani tu lakini INSHAALLAH MUNGU NDIO MUWEZA.
 
Una undugu wa karibu na Pdidy ?
 
Last edited by a moderator:
Mgoja serikali ya ccm iweke daraja nungwi ndio ataleta meli.
 
Kwa yeyote ambae yupo karibu nå mfanya biashara huyu namuomba amfikishie kilio chetu kwa niaba ya wapemba wote. Muhishimiwa BAKHRESA unasiwa sana km unawasaidia wanyonge hill lipo wazi kila mtu analiona, lakin kwa upande wetu wapemba bado msaada wako no kero kwetu , usafiri kati ya Unguja nå Pemba no shida sana sana sana nå unalijuwa hili lakini kwa ukorofi wako au watendaji wako badala ya kutusaidia umezidi kutukandamiza , kwa mfano una speed bot zaid ya saba lakin hakuna hats moja inayofanya kazi kati ya Unguja nå Pemba, boti zako zote ni Unguja nå Dar tu umefikia kutowa ofa ya 16000 badala ya 23000 kati ya Unguja nå Dar kwa boti yako ya seabus 3 lakin hutaki kuipeleka Pemba kwa 30000 ili nå wapemba wapate angalau kujipumbaza. Umetuletea meli ya SEALINK1 nå ukasema no kwa ajili ya wapemba badala yake baada ya kutukombowa imezid kutudhalilisha kwa mfano meli hoi inakuja Pemba Mara mbili kwa wiki lakin ukitaka ticket no lazima ukate SKU tati kabla ya safari nå hivo ikienda kukata ticket unaweza ukauziwa Mara mbili ya bei halali nå wafanyakazi wako , hill Tisa kumi melu hii(SEALINK1) inauwezo wa kutembea kwa Massa manner kati ya Unguja nå Pemba lakini inatembea kwa zaid ya Massa 7 kati ya Unguja nå Pemba ili tu upate kuuza biashara yako ya vyakula nå vinywaji kwenye meli yako tena bila ya huruma hujali mule muna wagonjwa wanawah hospitali munawatu wamefiliwa wanawahi mazikoni n.k.Kwa niiaba ya Wapemba wote tunakuomba utuangalie kwa jicho LA huruma mama Wapemba hatuna mtetez serekali imeamuwa kututenga kwa kuamini kuwa wapemba ni wapinzani ingawa said ya %75 ya uchumi wa Zanziba unategemeaa kisiwa cha Pemba lakin huduma zote zinapelekwa Unguja nå kukiacha kisiwa cha Pemba kam yatima. Ukitizama meli za abiria zinazokuja Pemba at a kupakia mbwa wako kama unampenda huwezi lakin kwa vile hatuna nyengine nå tulioweng hatuna uwezo wa kupanda ndege basis tuna fikichana umomo kwenye mameli mabovi.

Mpe mtu asome ulichoandika alafu umtizame usoni..
 
TURUFUDUME pole sana punguza hasira alafu edit kwanza mana sijui umeandika nini alafu tujadili
 
Last edited by a moderator:
Dah nimecheka sana.
Mzanzibari hajui andika.
Nenda shule ndugu afu ndo urudi kulalama juu ya Bakhresa.
 
Duuu polee ndo mambo tatizo mkondo shekhe ndo kikwazo huko peleka malalamiko kwa serikali kwanza kisha uje kwa Bakhresa yeye ni mfanya biashara anaangalia faida kijana
 
kwa mfano km wapi hamjafahamu ili niwafanulie zaid ? nakubali uandish mbovu mana natumia cm cm wenyewe tecno ya kichina nawaomben mnisamehe km nimewachosha lakini lengo langu ujumbe ufike tu . Kuna watu sio hawajafaham lakin tu wanataka kukejeli lakin mi nishawasamehe.
 
Kwa yeyote ambae yupo karibu nå mfanya biashara huyu namuomba amfikishie kilio chetu kwa niaba ya wapemba wote. Muhishimiwa BAKHRESA unasiwa sana km unawasaidia wanyonge hill lipo wazi kila mtu analiona, lakin kwa upande wetu wapemba bado msaada wako no kero kwetu , usafiri kati ya Unguja nå Pemba no shida sana sana sana nå unalijuwa hili lakini kwa ukorofi wako au watendaji wako badala ya kutusaidia umezidi kutukandamiza , kwa mfano una speed bot zaid ya saba lakin hakuna hats moja inayofanya kazi kati ya Unguja nå Pemba, boti zako zote ni Unguja nå Dar tu umefikia kutowa ofa ya 16000 badala ya 23000 kati ya Unguja nå Dar kwa boti yako ya seabus 3 lakin hutaki kuipeleka Pemba kwa 30000 ili nå wapemba wapate angalau kujipumbaza. Umetuletea meli ya SEALINK1 nå ukasema no kwa ajili ya wapemba badala yake baada ya kutukombowa imezid kutudhalilisha kwa mfano meli hoi inakuja Pemba Mara mbili kwa wiki lakin ukitaka ticket no lazima ukate SKU tati kabla ya safari nå hivo ikienda kukata ticket unaweza ukauziwa Mara mbili ya bei halali nå wafanyakazi wako , hill Tisa kumi melu hii(SEALINK1) inauwezo wa kutembea kwa Massa manner kati ya Unguja nå Pemba lakini inatembea kwa zaid ya Massa 7 kati ya Unguja nå Pemba ili tu upate kuuza biashara yako ya vyakula nå vinywaji kwenye meli yako tena bila ya huruma hujali mule muna wagonjwa wanawah hospitali munawatu wamefiliwa wanawahi mazikoni n.k.Kwa niiaba ya Wapemba wote tunakuomba utuangalie kwa jicho LA huruma mama Wapemba hatuna mtetez serekali imeamuwa kututenga kwa kuamini kuwa wapemba ni wapinzani ingawa said ya %75 ya uchumi wa Zanziba unategemeaa kisiwa cha Pemba lakin huduma zote zinapelekwa Unguja nå kukiacha kisiwa cha Pemba kam yatima. Ukitizama meli za abiria zinazokuja Pemba at a kupakia mbwa wako kama unampenda huwezi lakin kwa vile hatuna nyengine nå tulioweng hatuna uwezo wa kupanda ndege basis tuna fikichana umomo kwenye mameli mabovi. SKU hizi kama uko dareslsm unataka kuja Pemba no lazima ulale unguja SKU ya pili ndio. utizame rehma ya mungu km kuna jahazi km kuna day mashua chochote kile ndo ufike Pemba ili mradi wapemb typo mashakani tu lakini INSHAALLAH MUNGU NDIO MUWEZA.

Waambieni wabunge wenu,Hamad Rashid anaishi Mikocheni lakini ni mbunge wenu na akija mnamchagua tena ,yeye sio waziri na hana nyadhifa zozote za kumfanya aishi Dar, lakini anaishi Mikocheni Dar Es Salaam.Chagueni Watumbatu wenzenu mnaoishi nao huko huko ,hao ndio wanajua shida zenu,hata wabunge wanaoishi Unguja lakini ni wabunge wa Pemba wapigeni chini,kuandika hapakuhusu Bakhresa haisaidii kitu yeye anafanya biashara na hizo ni meli zake hamuwezi kumpangia,bali mnaweza kuiamuru serikali ya Zanzibar kuwanununulia meli ili kuondoa hiyo kadhia kwani Pemba ni Zanzibar,,kwa hiyo SMZ ina wajibu wa kuwahudumia wananchi wake pale inapoona wanapata shida,pia mwambieni Maalimu Seifu yeye ni kiongozi mkuu pia raisi Shein pia anatoka Pemba hao ndio wa kuwaambia na hao ndio mna haki nao lakini sio Bakhresa.
 
Duuu polee ndo mambo tatizo mkondo shekhe ndo kikwazo huko peleka malalamiko kwa serikali kwanza kisha uje kwa Bakhresa yeye ni mfanya biashara anaangalia faida kijana

Kuna uhusiano gani wa ukubwa wa mkondo nå viooks vyake anavouzia vyakula nå vinywaji ushenzi nå roho mbsya tu usiojali utu ukajali kitu. mi kilio change kwa nini anathamini kitu kuliko utu?
 
Back
Top Bottom