Waambieni wabunge wenu,Hamad Rashid anaishi Mikocheni lakini ni mbunge wenu na akija mnamchagua tena ,yeye sio waziri na hana nyadhifa zozote za kumfanya aishi Dar, lakini anaishi Mikocheni Dar Es Salaam.Chagueni Watumbatu wenzenu mnaoishi nao huko huko ,hao ndio wanajua shida zenu,hata wabunge wanaoishi Unguja lakini ni wabunge wa Pemba wapigeni chini,kuandika hapakuhusu Bakhresa haisaidii kitu yeye anafanya biashara na hizo ni meli zake hamuwezi kumpangia,bali mnaweza kuiamuru serikali ya Zanzibar kuwanununulia meli ili kuondoa hiyo kadhia kwani Pemba ni Zanzibar,,kwa hiyo SMZ ina wajibu wa kuwahudumia wananchi wake pale inapoona wanapata shida,pia mwambieni Maalimu Seifu yeye ni kiongozi mkuu pia raisi Shein pia anatoka Pemba hao ndio wa kuwaambia na hao ndio mna haki nao lakini sio Bakhresa.