Mbona kama Le Mutuz
Mbona unalalama sana mkuu? Nikiangalia idadi ya post zako inaonesha unashinda JF, bahati mbaya kabisa huyo mzee sijawahi kumwona JF, mitaa ya TV ndiko anakoshinda, ukiwauliza wakina mama na watoto lazima wanamfahamu, mwoneshe picha mwanao umuulize huyu ni nani?
sasa mkuu hayo mashirika yamsaidie vipi wakati alishafanya kazi na kulipwa kwa mujibu wa sheria??.....ishu sio kumsaidia bali liwe fundisho hata kwa wasanii wengine hapa bongo wasijiwekee hazina ya umaarufu tu bali hata katika mambo mengine
sasa ni wakati wa wasanii... sana
Yes yes yes ...!Akili ndogo hujadili watu mimi naongelea mada wewe ushaifanya personal mpaka kwa watoto wangu; sasa kama humjui kiranga cha kumuongelea unakitoa wapi wakati huna data kasaidiwa ama laa ama kuna mipango iko mbioni. Hata kama nashinda jf si kwa ajili ya kusoma pumba lete kitu kamili sio mambo ya vijiweni kazi kujadili personalities
duuu ngoja nianze kuweka akiba katika kibubu change mie uzee unakuja huo
0714 344 039 piga hiyo mkuu