kwa taarifa yako amna mfanyabiashara anayefanya biashara zake kwa uwazi kama bakhresa , hapata tanzania , biashara zake ziko wazi kabisa na ni rahisi mno kufuatilia , wafanyakazi wanalipwaje, kodi kiasi gani inalipwa ,njoo huku kwa MENGI vibarua wa kutosha , huku wakiingiza superprofi , . mengi ana campuni inaitwa tanzanite africa na kwa kwa makusudi kabisa AMEJIRENK kama mchinbaji mdogo ili asilipi kodi , kwanzia 2007
hadi hii leo anazalisha tone za tanzanite lakini anajificha nyuma ya wachimbaji wadogowadogo