Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa
Swali la msingi sana.
...kwanini bakhresa hayupo kwenye orodha ya walipa kodi wakubwa ?
Swali la msingi sana.
...kwanini bakhresa hayupo kwenye orodha ya walipa kodi wakubwa ?
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa
Swali la msingi sana.
...kwanini bakhresa hayupo kwenye orodha ya walipa kodi wakubwa ?
Weka ushaidi wa hayo maneno yako badala ya kupambana na makampuni ya madini hayalipi kodi wewe unapambana na Bakhresa bila data zozote zaidi ya chuki zako tu.Bakhresa kwenye vitabu vyake vya hesabu anase anapata hasara! Hii nchi hii
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa
1 Tanzania Telecommunications Company Ltd - Ttcl
2 Tanzania Electric Supply Company Ltd - (Tanesco Ltd)
3 Tanzania Port Authority - (Tanzania Harbours Authority)
4 Tanzania Revenue Authority
5 National Housing Corporation
6 Tanzania Zambia Railway Authority - (Tazara)
7 Tanzania Post Corporation
8 National Service
9 Bank Of Tanzania
10 Parastatal Pensions Fund - (Ppf)
11 National Social Security Fund - (Nssf)
12 Tanzania Postal Bank
13 Vocational Education Training Authority - Veta
14 Dar Es Salaam Water & Sewerage Authority - (Dawasa)
15 National Insurance Corporation Tanzania Ltd - Nic (T) Ltd
16 Tanzania Investment Bank Limited - (Tanzania Investment Bank)
17 Air Tanzania Company Ltd
18 Twiga Bancorp Ltd - (National Bureau De Change Limited)
19 Police Force
20 Wizara Ya Elimu Na Utamaduni
21 Permanent Secretary Ministry Of Finance
22 Ministry Of Defence And National Services
23 Dar Es Salaam Water & Sewerage Corporation - (Dawasco)
24 Tanzania Standard Newspapers Limited
25 National Printing Company Limited
26 University Of Dar-Es-Salaam
27 Dar Es Salaam City Council
28 Muhimbili National Hospital
29 Tazama Pipelines Limited
30 President's Office - Cabinet Secretariet
31 Tanzania National Parks Ltd - Tanapa
32 Ngorongoro Conservation Area Authority
33 Tanzania National Roads Agency - (Tanroads)
34 President's Office
35 Prison Service
36 The National Health Insurance Fund
37 Tanzania Petroleum Development Corporation - Tpdc
38 Ministry Of Natural Resources And Tourism
39 Local Authorities Pensions Fund - Lapf
40 Public Service Pension Fund - Pspf
Source: Verified source but undisclosed
Mleta mada hebu tupe orodha ya hilo kundi LA walipa kodi wakubwa. Kama huna hiyo orodha basi haya yatakua majungu
Weka ushahidi wa ukwepaji kodi isije ikawa ni lako jambo! Mtu kuwa na biashara nyingi si kiashirizi za kukwepa kodi..
Kwa ufupi😱nly one mining company,one telecom company,no gas/fuel company!!
1.TBL(Tsh bilioni 165.4)
2.NMB(Tsh bilioni 108.6)
3.TCC (Tsh bilioni 92.1)
4.NBC (Tsh bilioni 89.9)
5.CRDB Bank Ltd(Tsh bilioni 79.2)
6.Tanzani Ports Authority(Tsh bilioni 76.8)
7.Tanzania Portland Authority(Tsh 73.4 bilioni)
8.Airtel(T) Ltd(Tsh bilioni 63.6)
9.Tanga cement company Ltd(Tsh 43.6)
10.Standard chartered Bank Ltd(Tsh bilioni 40)
11.Citibank(T) Ltd(Tsh bilioni 35.7)
12.Resolute(T) Ltd(Tsh bilioni 32.1)
13.TICTS(Tsh bilioni 25.9)
14.Tanzania Distillers Ltd(Tsh bilioni 13.4)
15.Group five international(PTY) Ltd(Tsh bilioni 9.5)
source:hotuba ya waziri mkuu bungeni tarehe 28/8/2011.
Bakhresa inasemekana anajikadiria mwenyewe kulipa kodi
Weka ushahidi wa ukwepaji kodi isije ikawa ni lako jambo! Mtu kuwa na biashara nyingi si kiashirizi za kukwepa kodi..
Bora useme achunguzwe kuliko kusema alipi kodi..TRA hutoa orodha ya walipa kodi wakubwa na kuwatunuku vyeti. Katika orodha ya makampuni 10 hakuna hata moja linalomilikiwa na Bakharesa!
Ajabu yeye yupo kwenye orodha ya matajiri wakubwa Tanzania, Afrika Mashariki na Afrika!
Mbona Reginald Mengi anaezidiwa utajiri na huyu bwana yeye yupo kwenye orodha ya walipa kodi wakubwa???
Kuna haja ya kumchunguza Bakhresa!