Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,775
- 9,202
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa. Achunguzwe kwanini hayuko Kwenye kundi la walipa kodi wakubwa.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa. Achunguzwe kwanini hayuko Kwenye kundi la walipa kodi wakubwa.