Huyu jamaa..angeachiwa aendeshe hizi kampuni zetu za Reli...tungekua mbali...
Ritz,
..hii inanikumbusha kwenda hospitali na syringe na dawa zako.
..daktari anafanya kazi ya kukudunga shindano tu.
..sasa wanataka kusema serikali haina $800k za kukarabati vichwa vya treni??
cc: ZeMarcopolo, Sikonge, Ogah
Anatafuta misamaha ya kodi huyu maana ni nadra kwa mtu kufanya hivo bure
Anatafuta misamaha ya kodi huyu maana ni nadra kwa mtu kufanya hivo bure
Huo ni mchango tu wa mdau aliyeguswa na sekta husika.
Mkuu inatakiwa tuwe na shukrani kwa hiki alichokifanya Bakhresa tunao viongozi walificha fedha nje ya nchi kitu ambacho kama wangeziingiza katika mzunguko wa fedha ndani ya nchi tungekuwa mbali au kama wasingeziiba pia tungekuwa mbali zaidi, nampongeza saaana Bakhresa kwani ameonyesha uzalendo wa kweli kwa nchi yake sio wa Mwigulu Nchemba wa kuvaa skaf ya Bendela ya taifa huku uzalendo wake kwa taifa hili ni zero.Anatafuta misamaha ya kodi huyu maana ni nadra kwa mtu kufanya hivo bure
hata, tufanye aliyechangia ni mzee regnald mengi. will you be happy?Anatafuta misamaha ya kodi huyu maana ni nadra kwa mtu kufanya hivo bure
hiyo pesa itarudi mara mbili yake kwake au zaidi, akili kumkichwa duniani hapa.