twatwatwa
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 2,066
- 421
Inawezekana kabisa,keshapewa tenda ya kuendesha mradi wa treni,hapa jijini Dar.
Kwa kuwa nakumbuka jana,waziri wa uchukuzi, Dr Mwakyembe,alitangaza kwenye bajeti yake kuwa,serikali ina mpango WA kubinafsisha,mradi wa treni,jijini Dar.
Kwa mtindo wa serikali hii,ingawa waziri Mwakyembe,ametuambia kuwa kampuni 14,zimebid tenda hiyo,upo uwezekano mkubwa kuwa Bakhresa,keshajibiwa na kuambiwa keshapewa tenda hiyo,hata kabla kikao cha tender board hakijakaa!!
kama anaweza hakuna ubaya