leo hii dadangu wa kuitwa mkuu!Hahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. lol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? ππ snowhite dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana ππ Heavenonearth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu
ahahahahaahah kwa hili na wewe ni LIFE SAVER asee!
umemsavuje bak leo!
ehehehehheh
we chelewa chelewa hivo hivo!Hehe watu wanatiririkaaaa!
BAK na mie nina shauku ya kukushukuru ila ntakuanzishia sredi utakapo save my life.
Mwezi mtukufu umetukuka kwako aisee lol
BAK ujumbe huo
usiniezie kesi handsome....Hahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. lol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? ππ snowhite dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana ππ Heavenonearth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu
ha haaa, umeona anavyojichanganya?leo hii dadangu wa kuitwa mkuu!
sikubali!
ahahahhaha lakini ulianza kumwita cutie kwanza enh?
il sasa si unajua tonge la mwisho ndo linakomba mboga!
LAKINI saaaaasa?sasa!
mbona leo huweki tule tuwimbo!
NAULIZA TU!
ha haaa, hata mimi nitamsaidia mistari shostito King'asti, aanzishe tu lisreadi wapambe tupoooooo, hadi kielewekewe chelewa chelewa hivo hivo!
ngoja wendhio watheme weeee usije kunililia mimi!
kwani kule kwenye nanii za umeme hatuwezi kumpeleka huyu ili tumpiku mleta sredi!we unajua mi ndo shosti yako wa kufa na kuzikana na siwezi acha uumie bana!
kama hongo za Boflo tunashare itakuwa mbinu za kutiririsha kwa bak?
Hehehehe itabidi unipe twishen asee. Ujentoman nliushindwa tangy nikiwa kijana seuze na uzee huu? Unajua nyagi ngapi zishaingia kumkichwa?ha haaa, nimekuita mkwe umsome snowhite...
mkwe ukitaka kudondokewa anza ku-act kijentlomani, lol!
hapo chacha..... where have you been Heloooooo?
we chelewa chelewa hivo hivo!
ngoja wendhio watheme weeee usije kunililia mimi!
kwani kule kwenye nanii za umeme hatuwezi kumpeleka huyu ili tumpiku mleta sredi!we unajua mi ndo shosti yako wa kufa na kuzikana na siwezi acha uumie bana!
kama hongo za Boflo tunashare itakuwa mbinu za kutiririsha kwa bak?
Kongosho,Nimemuwacha bana
Mmh, I see
Kajitahidi kuficha ujumbe
Nilitamani asme wazi
nakuona mkuu sio kapela mwenzetu tena ,ndo ushatoka hvyoHahahahaha lol! Nyie watu naona mnachombeza ile mbaya lol! mie sina mbavu kutokana na yaliyoandikwaka katika huu uzi. Nyani Ngabu, Gaijin, mwekundu, VUVUZELA, Mbwiga_Plus, Mrembo by Nature, HorsePower, Baba V, watu8, sakute same, Toria, Chujio, Bujibuji, mnyawezi wa urambo, Kin'gasti ahsante sana Wakuu lol! πππlol! Cutie Fixed Point hata wewe Mkuu!? Haya banaa dawa yako iko jikoni? Kongosho kwani ulidhani BAK ana uso wa dagaa!? ππ snowhite, dada yako ana pw siku nyingi tu mwambie akupe haraka sana ππ Heaven on earth, very true it feels so good to be appreciated by fellow human beings, Pilot afrodenzi ahsante sana Mkuu ombi lako nimelisikia.