johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Napendekeza waende karantine siku 14 ili wajicheki afya zao kwa muda huu wa kusubiria ili kama wana maambukizi ama lahJana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.
Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.
Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?
Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo watakuwa karantini!........ Hahahaaaa bia yetu bhana.Hata hivyo bunge huisha july Mkuu hakuna kilichoharibika
Acha uongo na wewe, mwaka wa fedha ndio unaisha July. Usifananishe kuvunja bunge, na kuhairsha bunge!!Hata hivyo bunge huisha july Mkuu hakuna kilichoharibika
Hii like ni kwa YRM!Kuzidi wenu wasojua hata tofauti ya posho na mshahara? Pathetic...katiba yenu tu inewashinda siku mkipewa nchi si itakuwa vurugu!?View attachment 1453871
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee shida ya nyie vijana was CCM hamsomi.Kazi yenu kuungajuhudi tu. In hivi, kwa mujibu was Mkataba wa Ushirikiano wa Jumuia ya Afrika Mashariki, hizi nchi zinashirikiana katika masuala kadhaa ya ya kodi, hususan lile la Common External Tariffs (CET) ambayo ni kodi inayotozwa kwa bidhaa zote zinazoagizwa kutoka nje. No lazima kodi hizi zifanane kwa nchi zote. Makubaliano ya vuwango vya CET huwa yanafikiwa kutokana na vikao vya mawaziri wa fedha vinavyofanyika wiki kadhaa kabla ya bajeti. Maana yake ni kwamba lazima bajeti zisomwe siku moja. Ikiwa zitasomwa siku tofauti, wafanyabiashara wa nchi ambayo itachelewa kusoma bajeti yake watapata faida. Nadhani sasa umeelewa bwashee!Jana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.
Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.
Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?
Maendeleo hayana vyama!
johnthebaptist, sikujua wewe uko dhaifu kiasi hiki!!!!!!!Jana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.
Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.
Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?
Maendeleo hayana vyama!
Hao mawaziri wa fedha watakutania wapi na lini?Bwashee shida ya nyie vijana was CCM hamsomi.Kazi yenu kuungajuhudi tu. In hivi, kwa mujibu was Mkataba wa Ushirikiano wa Jumuia ya Afrika Mashariki, hizi nchi zinashirikiana katika masuala kadhaa ya ya kodi, hususan lile la Common External Tariffs (CET) ambayo ni kodi inayotozwa kwa bidhaa zote zinazoagizwa kutoka nje. No lazima kodi hizi zifanane kwa nchi zote. Makubaliano ya vuwango vya CET huwa yanafikiwa kutokana na vikao vya mawaziri wa fedha vinavyofanyika wiki kadhaa kabla ya bajeti. Maana yake ni kwamba lazima bajeti zisomwe siku moja. Ikiwa zitasomwa siku tofauti, wafanyabiashara wa nchi ambayo itachelewa kusoma bajeti yake watapata faida. Nadhani sasa umeelewa bwashee!
Hahahaaaa....... Nazungumzia nyakati hizi bwashee!johnthebaptist, sikujua wewe uko dhaifu kiasi hiki!!!!!!!
Hata kama-ndiyo utaratibu tuliojiwekea na inafanyika hivyo miaka yote. Hivi hata kama ni corona wachumbe wanataka kufunga ndoa wanaenda kila mtu kwa wkati wake na tunaita hiyo ndoa?Hahahaaaa....... Nazungumzia nyakati hizi bwashee!
Nyakati za Corona.
Jana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.
Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.
Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?
Maendeleo hayana vyama!
Mbona ratiba ya awali ilionyesha bunge kufungwa 31 May?Hata kama-ndiyo utaratibu tuliojiwekea na inafanyika hivyo miaka yote. Hivi hata kama ni corona wachumbe wanataka kufunga ndoa wanaenda kila mtu kwa wkati wake na tunaita hiyo ndoa?
Iilikuwa ni makosa. yamerekebishwa; aidha kumbuka kuwa ratiba ya wali kabisa ni 30.06.2020.Mbona ratiba ya awali ilionyesha bunge kufungwa 31 May?