johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,723
- 141,582
Jana Spika Ndugai amesema pamoja na kwamba bajeti yetu imewahi kukamilika bado itatulazimu kuwasubiri " Wenzetu" wa Kenya, Rwanda na Uganda ili tuzisome kwa pamoja tarehe 11 June.
Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.
Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?
Maendeleo hayana vyama!
Maana yake ni kwamba wabunge wataendelea kuwepo Dodoma wakiisubiri hiyo tarehe ya " pamoja " kisha wataendelea kuwepo wakisubiri tarehe ya kuvunja bunge ambayo ni 19 June.
Hii imekaaje wakuu....kuna ulazima wa kusubiriana nyakati kama hizi?
Maendeleo hayana vyama!