mke kubwa wa ccm ana maneno sana...mambo haya ni ya kuongea cumbani yataisha tu..huu ni upepo utapita tu !
Jamani huyu Dr. mgimwa, hata mimi ni gamba orijino lakini hajanikalia sawa, maana hata presentation ya ile bajeti ilikuwa ni kichekesho. Sijui utendaji wake, lakini naona kaenda shule lakini hajaelimika.
UDINI unawaunganisha CHADEMA na CCM!
Wajipanga kuipinga budget kupitia wabunge wao, wamechoka kuivumilia ccm Prof Lipumba kailinganisha na budget iliyopita kagundua madudu mengi, kila kona inakataliwa.