Bajeti ya trilioni 29 yakwaa kisiki asubuhi!!! yawavuruga watendaji

Hapo ndio watu wa shabiki wa kijani na njano mjue hamna wabunge kwa ajili ya kuwatetea bali mko na wapiga deal kwa ajili ya matumbo yao na familia zao. Wazee wa ndiooooo
Bila kupitia bajeti na kuisoma zaidi na kuielewa.
Wacha tuisome nambaeee .......mbele kwa mbele..... Mhhhhhh
 
Safari ni ndefu kufika Tanzania tunayoitaka ambayo muheshimiwa kaahidi labda uwe unaota ndotoni unaweza fika
 
Sasa wakipelekana mahakamani hilo gepu litafidiwaje? Na lazima mabenki yashinde tu
 
Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa
KwaNi hiyo kodi ya vat kwa huduma za kibenki ndio itakayo endesha nchi/bajeti kwa mwaka huu? Acha kuonea wenzio gere, ushoga umepigwa marufuku dar kama huna taarifa
 
Tatizo serikali yetu imelewa madaraka kiasi kwamba imekuwa ikikurupuka tu kufanya maamuz bila ya kfanya utafiti na kujiridhisha ivo kuambulia kutoa taarifa zisizo na mantiki na kuwa watu wa kukanusha na kurekebisha taarifa hizo na hii imekuwa daily routine ya viongozi wa serikali ya awamu ya tano
 
Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa

iparamasa,
Hii ni kutokana na watu kufanya kazi kwa HOFU na WOGA!
Bajeti hii ya 2016/7 itakuwa ngumu sana kutekelezeka. Huyo Waziri MPANGO ametengeneza Bajeti ya kimagumashi ili kumfurahisha Bwana mkubwa MAGU. Kwa maana ingine bajeti ya MAGU NI MAGUMASHI........!!!!
Nina hakika kama Wapinzani UKAWA wasingelifukuzwa na hichi kikaragoshi cha Magufuli kisicho Tulia nina uhakika haya MADHAIFU yanayoanza kujitokeza yangelionekana na kurekibishwa mapema!

Lakini kwa vile MACCM walikuwa wanajua Wabunge mahiri kama Lissu,Kubenea,Lema,Mdee,Suzan,Bulaya,Mnyika wangeliachwa Bungeni wangeikosoa Bajeti hii, kumbe kukosoa ni kusahihisha!
Hakika Tanzania bado tuna safari ndefu!!!
 
Uongozi wenyewe ulipatikana kibahati bahat baada ya kutokea makundi chamani mwao lazima upagawe tu mana huoni pa kuanzia.
 
Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa
I thought umekuja na mifano hai kumbe story tuu...hivi unafikiri serikali inashindwa kuyaacha makampuni ya watoze ninyi?
 
Mimi hili LA watendaji wakubwa kupingana kauli hadharani limenichosha sn,sio kawaida,hata km 7bu zinajulikana kwamba serikali ina ombwe LA uongozi,lkn kunaeza kukawa na sababu zingine hazijulikani sana.
Hivi ulimuona lini Ndulu anaongea?
 
Back
Top Bottom