Kongwamaji
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 560
- 145
Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa
Mtanyooka tu mwaka huu
Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa
Acha ukweli uzungumzwe.Ufipa mshindwe na mlegee.
Kama kujenga ofisi nzuri ya chadema imewashinda hakika ya Magufuli hamtayaweza.
Hizo buku 7 mtakuja kuona madhara yake siku si nyingiUfipa mshindwe na mlegee.
Kama kujenga ofisi nzuri ya chadema imewashinda hakika ya Magufuli hamtayaweza.
Yes ukweli wa kwamba bajeti ya kujenga ofisi imemshinda mfalme Mbowe kwa miaka 20 !!!Acha ukweli uzungumzwe.
Sindano ikikuingia ng'ata meno.
Hata bungeni kwenu ilikuwa hivihivi, Budget ndio iko mezani kujadiliwa mnaacha mnazungumzia Chadema na sanamu ya Diamond.Jengeni ofisi basi .hiyo bar mliyopanga kwa miaka 20 haiendani na tambo zenu
Zaidi ya kujipanga mkuu, wanapigana matobo uwanjani wenyewe kwa wenyewe.Hawajajipanga..Huo ndo ukweli.
Povu la nini ?? Leteni bajeti ya kujenga ofisi hapa.Hata bungeni kwenu ilikuwa hivihivi, Budget ndio iko mezani kujadiliwa mnaacha mnazungumzia Chadema na sanamu ya Diamond.
Dr Mpango akawa anacheka tuu kuwa kumbe kuwa Waziri wa fedha ni kazi rahisi hivi!
Unachipukia vizuri hapo Lumumba.Yes ukweli wa kwamba bajeti ya kujenga ofisi imemshinda mfalme Mbowe kwa miaka 20 !!!
Rudi kwenye hoja acha kujambajamba mkuu.Povu la nini ?? Leteni bajeti ya kujenga ofisi hapa.
Haiwezekani chama kina ruzuku kubwa alafu ofisi zipo makaburini kwa miaka 20!!!
yetu macho, huu ni ulimwengu mwingine, serikali imehamia mtandaoni kuangalia nani ana andika nini, na baada ya hapo ni safari ya Central kisha Kisutu na safari kuishia SegereaMimi hili LA watendaji wakubwa kupingana kauli hadharani limenichosha sn,sio kawaida,hata km 7bu zinajulikana kwamba serikali ina ombwe LA uongozi,lkn kunaeza kukawa na sababu zingine hazijulikani sana.
Wenzako wanadiscus suala linalotugusa wa tz kwa ujumla kuhusu kukinzana kwa kauli ya baadhi ya taasisi mbali mbali kuhusu tozo iliyoanzishwa,,we unaanza kuleta masuala ya kichama hapa,,hizo ni akili uchwara,,,,,Ufipa mshindwe na mlegee.
Kama kujenga ofisi nzuri ya chadema imewashinda hakika ya Magufuli hamtayaweza.
Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa
Wanaonaga raha tu kutangazia umma mambo yao ya ajabuajabu..Utekelezaji unakua mgumu. Movie inaendelea ngoja tuzidi kuiangaliaZaidi ya kujipanga mkuu, wanapigana matobo uwanjani wenyewe kwa wenyewe.
Hii 'muvi' inakera mkuu, dairekta kachanganya 'scene' halafu anataka muvi iende cinemax.Wanaonaga raha tu kutangazia umma mambo yao ya ajabuajabu..Utekelezaji unakua mgumu. Movie inaendelea ngoja tuzidi kuiangalia