Malumbano ya kodi ni kitu cha kawaida hata nchi zilizoendelea Malumbano yapo.Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa
Hii kauli utailipiaDikteta Magufuli ni Janga kubwa la Taifa.
Wewe unataka ukamatwe na vijana wa kazi! Shauri yako usije nitafute eti nikuchangie hela ya faini!Dikteta Magufuli ni Janga kubwa la Taifa.
Wewe unataka ukamatwe na vijana wa kazi! Shauri yako usije nitafute eti nikuchangie hela ya faini!
Kesho ripoti polisi,kwa nini unakosoa?Walioko jikoni tafadhali mwambieni mkuu kuwa, sii kila anayekosoa ana nia mbaya. Wengine wanakosoa kwa nia njema kabisa.Kikubwa ni kuweka mfumo wa kupepeta pumba na mchele. Waruhusiwe watu kukosoa jamani.
Walioko jikoni tafadhali mwambieni mkuu kuwa, sii kila anayekosoa ana nia mbaya. Wengine wanakosoa kwa nia njema kabisa.Kikubwa ni kuweka mfumo wa kupepeta pumba na mchele. Waruhusiwe watu kukosoa jamani.
Nendeni mkamkosoe Mbowe ili awajengee ofisi ya maanaWalioko jikoni tafadhali mwambieni mkuu kuwa, sii kila anayekosoa ana nia mbaya. Wengine wanakosoa kwa nia njema kabisa.Kikubwa ni kuweka mfumo wa kupepeta pumba na mchele. Waruhusiwe watu kukosoa jamani.
Wewe ndio walijua leo? Mwenzio toka saa 00:00 hrs siku ya tarehe 01/07/16 nilishalijua hilo.Naona tayari utekelezaji wa bajeti umekwama.
Tra,benki kuu,makampuni ya simu,mabenki ni malumbano tu.
Tanzania ya viwanda imeota mbawa