kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
Baada ya kampeni kubwa sana zilizofanyika igunga mimi nimebaki na swali moja la msingi, hivi kama kila miezi mitatu kuwe na uchaguzi wa mbunge mmoja kwa sababu mbunge awe amefariki au amevua gamba, shughuli za maendeleo zitafanyika kweli?
Tumeona mawaziri,wabunge wa vyama mbali na hata watumishi wa serikali kuacha majukumu yao ya kila siku na kutumia muda wao wote kwenye kampeni.
Mimi nafikiri kuwepo na sheria za kusimamia chaguzi ndogo kama hizi,ku limit viongozi wa kichama wanaoweza kushiriki ili kuruhusu shughuli nyingine za kimaendeleo ziendelee.
Pia budget za kampeni ziwe na kikomo,...kumbuka hao wananchi wanaofanyiwa mbwembwe kwenye kampeni ni masikini,wanachohitaji na kiongozi safi na si mengineyo..
Tumeona mawaziri,wabunge wa vyama mbali na hata watumishi wa serikali kuacha majukumu yao ya kila siku na kutumia muda wao wote kwenye kampeni.
Mimi nafikiri kuwepo na sheria za kusimamia chaguzi ndogo kama hizi,ku limit viongozi wa kichama wanaoweza kushiriki ili kuruhusu shughuli nyingine za kimaendeleo ziendelee.
Pia budget za kampeni ziwe na kikomo,...kumbuka hao wananchi wanaofanyiwa mbwembwe kwenye kampeni ni masikini,wanachohitaji na kiongozi safi na si mengineyo..