Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Salamu wana Jf
Jamani hamjamboo????????
Lipo jambo moja naomba kupata mawazo kutoka kwa wadau
Hivi wengine mnawezaje kuishi kwa mshahara wa serikalini????
Unajua huwa najiuliza mara nyingi maana karibia kila mwisho wa mwezi lazima niwe nadaiwa hasa dukani. Achilia mbali karo za shule kwa watoto na wasaidiwa
Hizi laki mbili kwangu imekuwa ni tatizo kweli.
Rejea thread ya Firstlady1 alipongamua kuwa kweli wanume tuna kazi nzito maana tunakabiliwa na msululu wa mambo mengi kutimiza maandiko
Hebu jamani nisaidieni maana bujet najitahidi kupanga lakini hazipangiki
Pato laki mbili
Matumizi- chakula, kulipa chumba, nauli, pamba za waifu atoke kama wengine, umeme, maji, simu,n.k
Hebu tusaidiane jamani
Jamani hamjamboo????????
Lipo jambo moja naomba kupata mawazo kutoka kwa wadau
Hivi wengine mnawezaje kuishi kwa mshahara wa serikalini????
Unajua huwa najiuliza mara nyingi maana karibia kila mwisho wa mwezi lazima niwe nadaiwa hasa dukani. Achilia mbali karo za shule kwa watoto na wasaidiwa
Hizi laki mbili kwangu imekuwa ni tatizo kweli.
Rejea thread ya Firstlady1 alipongamua kuwa kweli wanume tuna kazi nzito maana tunakabiliwa na msululu wa mambo mengi kutimiza maandiko
Hebu jamani nisaidieni maana bujet najitahidi kupanga lakini hazipangiki
Pato laki mbili
Matumizi- chakula, kulipa chumba, nauli, pamba za waifu atoke kama wengine, umeme, maji, simu,n.k
Hebu tusaidiane jamani