kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 716
Wadau habari zenu, ni LLB graduate ,sina ajira ila kuna sehemu naweza kopa ka mtaji kiasi fulani ninataka ninunue pikipiki ya matairi matatu ya kubeba mizigo sasa kuna mambo naitaji kuyafahamu
1. aina gani ni nzuri ngumu na ina dumu
2. bei gani na wapi pa kuipata
3. je biashara hii inalipa? naulizia cost of operation na muda wastani wa kuishi kwa pkpk hiyo, mi nitaitumia mkoa wa Iringa
1. aina gani ni nzuri ngumu na ina dumu
2. bei gani na wapi pa kuipata
3. je biashara hii inalipa? naulizia cost of operation na muda wastani wa kuishi kwa pkpk hiyo, mi nitaitumia mkoa wa Iringa